Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino
    Ajira

    Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Kisiwa24By Kisiwa24August 27, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    Tangazo

    Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP CHANNEL YETU

    Kufuatia idhini ya utekelezaji wa ajira mpya kwa mwaka wa fedha 2023/2024, kwa kibali chenye Kumb. Na. Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25-06-2024, kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino anawatangazia Watanzania wote wenye sifa za kujaza nafasi za kazi tajwa hapo chini kujisajili na kutuma maombi yao kwa njia ya mfumo wa Ajira Portal. Nafasi za kazi zinazotangazwa ni hizi zifuatazo:-

    Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – NAFASI 6

    KAZI NA MAJUKUMU

    i. Kuorodhesha barua zinazoingia Masjala kwenye regista (incoming correspondence register)

    ii. Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi (outgoing correspondence register)

    iii. Kusambaza majalada kwa Watendaji (action officers)

    iv. Kupokea majalada kwa Watendaji (action officers)

    v. Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa Watendaji

    vi. Kurudisha majalada kwenye shabaka/kabati la majalada (racks/filling cabinets) au mahali pengine yanapohifadhiwa

    vii. Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya Taasisi (file tracking)

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Kuajiriwa mhitimu wa Kidato cha Nne (IV) au Kidato cha Sita (VI), aliyehitimu Stashahada (NTA level 6) katika fani ya utunzaji kumbukumbu kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.
    S.L.P 1126, Chamwino – Dodoma, Simu: (026) 2321449, Nukushi:(026) 2961510, Barua pepe:ded@chamwinodc.go.tz

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia viwango vya mishahara ya Serikali – TGS C

    BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD TANGAZO LOTE PDF

    SOMA PIA;

    1. Nafasi Mpya 10 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

    2. Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe Agosti 2024

    3. Nafasi Mpya 17 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Mji Kondoa

    4. Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma Agosti 2024

    5. Nafasi Mpya Za Kazi Wizara ya Maji Agosti 2024

    6. Nafasi Mpya 4 Za Kazi Kutoka Chuo kikuu cha Mzumbe Agosti 2024

    7. Nafasi Mpya 18 Za Kazi Kutoka Halmashauri Ya Wilaya Ya Tunduru

    8. Nafasi Mpya 18 Za Kazi Kutoka Halmashauri Ya Mji Kasulu

    9.  Tangazo La Nafasi Za Kazi Taasisi Mbalimbali Za Elimu

    10. Nafasi Mpya 13 za Kazi Kutoka Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi Mbali Mbali Za kazi zilizotangazwa Agosti 2024
    Next Article Habari kubwa Katika Magazeti ya leo Agosti 28-2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.