Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa Ya Tabora
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa Ya Tabora
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa Ya Tabora

Kisiwa24
Last updated: August 28, 2024 6:36 am
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa Ya Tabora

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP CHANNEL YETU

Mkurugenzi wa Manispaa amepata kibali kipya cha ajira kwa ikama ya mwaka 2023/2024 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/09 cha tarehe 25.06.2024 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Kufuatia kibali hicho Mkurugenzi wa Manispaa ya Tabora anakaribisha maombi kwa watanzania wenye sifa za kujaza nafasi za kazi.

MASHARTI YA JUMLA

i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania wenye umri wa miaka 18 na usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini – Serikalini.

ii. Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye mfumo wa kuombea ajira aina ya Ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.

iii. Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza Curriculum Vitae (CV) yenye Anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya barua pepe (E-mail adress) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika. “Provisional “/Testimonials”/ “Statement of results” na hati za matokeo za kidato cha Nne na Sita (Form IV and Form VI results slip) HAVITAKUBALIWA.

iv. Waombaji wote waambatanishe cheti cha kuzaliwa kilichothibitishwa na Mwanasheria/Wakili.

v. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.

vi. Waombaji ambao tayari ni Watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingia katikakada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na waajiri wao wajiridhishe ipasavyo.

vii. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma, wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.

viii. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne, kidato cha Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.

ix. Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Dilpoma/Certificates, – Cheti cha mtihani wa Kidato cha IV na VI, – Computer Certificate, – Vyeti vya Kitaaluma (Professional Certificate from Respective Boards).

x. Waombaji waliosoma nje ya Nchi wahakikishe vyeti vyao vimethibitishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA au NACTVET).

xi. Uwasilishaji wa Taarifa na Sifa za kughushi, wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.

xii. Barua ya maombi iandikwe kwa Kiswahili au Kiingereza.

xiii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 03 Septemba, 2024.

xiv. MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, aidha anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa:

BONYEZA HAPA KUPAKUA FILE NZIMA

Mapendekezo Ya Mhariri;

1. Nafasi Mbali Mbali Za kazi zilizotangazwa Agosti 2024

2. Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala 

3. Nafasi Mpya 27 Za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa

4. Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru

5. Nafasi Mpya 10 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga

6. Nafasi Mpya Za Kazi Kutoka Chuo Kikuu cha Mzumbe Agosti 2024

7. Nafasi Mpya 17 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Mji Kondoa

8. Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma Agosti 2024

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Maswali Ya Usaili Ajira Za TRA 2025 (TRA Interview Questions )

Nafasi za Kazi – English Second Language Teacher at Micro1 February 2025

Nafasi Mpya 17 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Mji Kondoa

Nafasi Za Kazi Kutoka Mwanga Hakika Bank January 2025

Nafasi za Kazi Keda (T) Ceramics Co Ltd May 2025

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Nafasi Mpya Za Kazi 78 Kutoka Taasisi Mbali Mbali Za Uma Agosti 2024 Nafasi Mpya Za Kazi 78 Kutoka Taasisi Mbali Mbali Za Uma Agosti 2024
Next Article Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Arusha Mabasi ya Dar Kwenda Dodoma Kila siku
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Mtwara
Uncategorized
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala

You Might also Like

Nafasi za Kazi - Creative Writing (English) at Micro1
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi za Kazi – Creative Writing (English) at Micro1 February 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Nafasi 7 Za Kazi Shirika La Maendeleo Ya Petroli Tanzania
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi 7 Za Kazi Shirika La Maendeleo Ya Petroli Tanzania (TPDC)

Kisiwa24 Kisiwa24 10 Min Read
Nafasi Mpya Za Kazi 78 Kutoka Taasisi Mbali Mbali Za Uma Agosti 2024
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi Mpya Za Kazi 78 Kutoka Taasisi Mbali Mbali Za Uma Agosti 2024

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Nafasi za Kazi Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) January 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi za Kazi Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI) January 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Nafasi za Kazi - GA MERCHANDISER at Smollan February 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi za Kazi – GA MERCHANDISER at Smollan February 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Nafasi 4 za Kazi Kutoka Barrick Gold Mine January 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi 4 za Kazi Kutoka Barrick Gold Mine January 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner