Nafasi 7 za Kazi at Barrick Gold Mine

Kwa AJIRA Mpya Kila Siku (BOFYA HAPA)

_____________________________________

Nafasi 7 za Kazi at Barrick Gold Mine

Barrick Tanzania is a leading gold mining company in Tanzania, operating the Bulyanhulu and North Mara gold mines. These mines are significant contributors to the country’s economy, providing employment opportunities and stimulating local development.

Barrick Tanzania frequently has job openings in various departments, including mining, processing, engineering, finance, human resources, and more. These positions range from entry-level to senior management roles, offering opportunities for both experienced professionals and recent graduates.

It’s important to note that the mining industry is highly competitive, and securing a job at Barrick Tanzania requires specific qualifications, skills, and experience. However, with dedication and hard work, it’s possible to build a successful career in this dynamic industry.

Ili kusoma maelezo na njia ya kutuma maombi bonyeza linki hapo chini;

Review Job Descriptions: Carefully read the job descriptions to understand the specific requirements and responsibilities of each position.

Prepare Your Application: Create a well-formatted CV highlighting your relevant skills, experience, and qualifications. Write a compelling cover letter explaining your interest in the position and how your skills align with the job requirements.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Senior System Internal Auditor Vacancy at GSM February

2. Regional Sales Director at Energy Exemplar February 2025

3. Scale Customer Success Manager (French/English) at Postman February 2025

4. Creative Writing (English) at Micro1 February 2025

Leave your thoughts

Chuo Kikuu cha Mtakatifu John cha Tanzania (St John’s University of Tanzania – SJUT) ni chuo kikuu binafsi kinachomilikiwa na Kanisa la Anglikana Tanzania. Kimeanzishwa kwa lengo la kutoa elimu ya juu yenye msingi wa maadili, maono na huduma kwa jamii. Kiko katika mji wa Dodoma, katikati ya Tanzania, na kinatoa programu mbalimbali kuanzia shahada za kwanza hadi za juu
Smiles Dental Clinic ni kliniki ya kisasa ya meno inayotoa huduma bora kwa wagonjwa wa rika zote. Kliniki hii imejipatia sifa kwa kutumia vifaa vya kisasa na teknolojia ya hali ya juu katika kutibu matatizo mbalimbali ya meno kama vile kung’oa, kusafisha, kuweka dawa, na kufunga braces. Madaktari wake ni wataalamu wenye uzoefu mkubwa katika fani ya afya ya kinywa
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 25-05-2025 na tarehe 05-06-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi
Angalia Majina ya Walioitwa Kazini Kupitia UTUMISHI – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) 2025 Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali chenye hadhi ya Idara Huru kilichoanzishwa mahsusi kurahisisha mchakato wa ajira kwa watumishi wa umma. Sekretarieti hii ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002
error: Content is protected !!