Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Nafasi 6 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa March 2025
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Nafasi 6 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa March 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi 6 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa March 2025

Kisiwa24
Last updated: March 27, 2025 4:21 am
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Nafasi 6 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa March 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa amepokea kibali cha Ajira mpya kwa Ikama ya mwaka 2023/2024 kutoka kwa Katibu Mkuu – Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na. FA.97/288/01/09 cha tarehe 25/06/2024. Hivyo, watanzania wote wenye sifa na uwezo wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kujaza nafasi zifuatazo:

MSAIDIZI WA MAENDELEO YA JAMII DARAJA LA II – NAFASI 06

KAZI NA MAJUKUMU

i) Kuratibu shughuli zote za Maendeleo ya Jamii kwa kuzingatia Jinsia.
ii) Kuraghabisha jamii kuanzia ngazi ya familia katika kubuni, kupanga, kutekeleza, kusimamia na kutathimini mipango na au mradi yao ya maendeleo.
iii) Kuhamasisha kuondokana na mila/desturi potofu na kuwa na mtazamo wa kupenda mabadiliko.
iv) Kutoa taarifa za utekelezaji wa kazi zake kila mwezi.
v) Kuelimisha jamii juu ya kutekeleza masuala ya kijinsia.
vi) Kuhamasisha jamii kutumia teknolojia sahihi na rahisi.
vii) Kuelimisha jamii juu ya umuhimu wa kutoa taarifa za matukio mbalimbali kama vifo, milipuko ya magonjwa, masoko, uzalishaji mali, vyakula, ajira na unyanyasaji wa kijinsia.
viii) Kuhamasisha jamii kujiunga na Elimu ya Watu Wazima.
ix) Kuelimisha jamii kuhusu masuala ya Watoto.
x) Kukusanya, kuchambua na kuweka takwimu zinazozingatia jinsia zitakazowezesha jamii kupanga mipango yao.
xi) Atafanya kazi nyingine za fani yake kama atakavyopangiwa na mkuu wake wa kazi.

SIFA ZA MWOMBAJI

Mwombaji awe na Cheti cha kidato cha Nne (IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo; Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka kinachotambuliwa na Serikali.

NGAZI YA MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali – TGS B

Bonyeza HAPA kupakua Tangazo Kamili

Kwa matangazo ya Ajira Mpya kila Siku Bonyeza HAPA

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Nafasi 4 za Kazi – Trainee – Rigger at Geita Gold Mine (GGM) April 2025

Nafasi za Kazi – Business Development Manager Insurance at NBC Bank March 2025

Nafasi za Kazi Tetra Tech December 2024

Nafasi Mpya 77 Za Kazi Taasisi Mbali Mbali za Umma Novemba 2024

Nafasi 90 za Kazi Serikalini, UTUMISHI January 2025

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Matumizi ya Sindano ya Kuzuia Mimba ya Depo Provera Matumizi ya Sindano ya Kuzuia Mimba ya Depo Provera
Next Article Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi March 2025 Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi March 2025
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Mtwara
Uncategorized
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala

You Might also Like

Nafasi Mpya 15 Za Kazi Halimashauri Ya Manispaa Ya Tabora
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi Mpya 15 Za Kazi Halimashauri Ya Manispaa Ya Tabora

Kisiwa24 Kisiwa24 9 Min Read
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi Mpya 25 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe

Kisiwa24 Kisiwa24 7 Min Read
Nafasi za Kazi - Coordinator at Swisscontact April 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi za Kazi – Coordinator at Swisscontact April 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 7 Min Read
Nafasi za Kazi - Küchenhilfe at Puma Group February 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Nafasi za Kazi – Küchenhilfe at Puma Group February 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Manager, Branch Job Vacancy at Standard Bank April 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Manager, Branch Job Vacancy at Standard Bank April 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Tangazo La Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma Agosti 2024
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

Tangazo La Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma Agosti 2024

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner