Nafasi 6 za Kazi at NMB Bank, February 2025

Kwa AJIRA Mpya Kila Siku (BOFYA HAPA)

_____________________________________

Nafasi 6 za Kazi at NMB Bank, February 2025

NMB Bank Plc is one of the largest commercial banks in Tanzania, providing banking services to individuals, small to medium sized corporate clients, government services, large businesses and agriculture lending. NMB Bank was established under the National Microfinance Bank Limited Incorporation Act of 1997, following the break-up of the old National Bank of Commerce, by an Act of Parliament. Three new entities were created at the time, namely: (a) NBC Holdings Limited (b) National Bank of Commerce (1997) Limited and (c) National Microfinance Bank Limited.

The bank has 226 branches, over 9,000 Agents (Wakala) and more than 700 ATMs across the country and is represented in all districts of Tanzania. NMB has over 4 million customers and employs over 3,400 staff. It is listed at the Dar Es Salaam Stock Exchange and its largest shareholders are the strategic partners Arise B.V with a 34.9% shareholding and the Government of Tanzania with a 31.8% shareholding. Euromoney awards for excellence selected NMB as the “Best Bank in Tanzania” for 8 years in a row from 2013-2020. The bank has been named The Safest Bank in Tanzania for the year 2020 by Global Finance Magazine.

NMB Bank Vacancies

Ili kusoma vigezo na njia ya kutuma maombi tafadhari bonyeza kwenye kila posti ya ajira hapo chini

Application Process:

  • Online Application: You’ll need to apply online through the NMB website’s career portal through the links above.
  • Required Documents: Typically, you’ll need to submit a CV/resume, a cover letter, and copies of your academic certificates.
  • Assessment and Interviews: Shortlisted candidates may be invited for assessments (e.g., aptitude tests) and interviews.

Mpandekezo ya Mhariri;

1. Business Development Manager Insurance at NBC Bank March 2025

2. Nafasi 3 za Kazi at BRELA Tanzania February 2025

3. Nafasi 11 za Kazi at I&M Bank Tanzania February 2025

4. Nafasi 7 za Kazi at Barrick Gold Mine

Leave your thoughts

Chuo Kikuu cha Mtakatifu John cha Tanzania (St John’s University of Tanzania – SJUT) ni chuo kikuu binafsi kinachomilikiwa na Kanisa la Anglikana Tanzania. Kimeanzishwa kwa lengo la kutoa elimu ya juu yenye msingi wa maadili, maono na huduma kwa jamii. Kiko katika mji wa Dodoma, katikati ya Tanzania, na kinatoa programu mbalimbali kuanzia shahada za kwanza hadi za juu
Smiles Dental Clinic ni kliniki ya kisasa ya meno inayotoa huduma bora kwa wagonjwa wa rika zote. Kliniki hii imejipatia sifa kwa kutumia vifaa vya kisasa na teknolojia ya hali ya juu katika kutibu matatizo mbalimbali ya meno kama vile kung’oa, kusafisha, kuweka dawa, na kufunga braces. Madaktari wake ni wataalamu wenye uzoefu mkubwa katika fani ya afya ya kinywa
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 25-05-2025 na tarehe 05-06-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi
Angalia Majina ya Walioitwa Kazini Kupitia UTUMISHI – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) 2025 Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali chenye hadhi ya Idara Huru kilichoanzishwa mahsusi kurahisisha mchakato wa ajira kwa watumishi wa umma. Sekretarieti hii ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002
error: Content is protected !!