NAFASI 21 za Kazi Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) June 2025
Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) ni shirika la umma linalomilikiwa na Serikali ya Tanzania chini ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi. Kampuni hii ilianzishwa kwa lengo la kutoa huduma za usafirishaji kwa njia ya maji katika maziwa makuu ya Victoria, Tanganyika, na Nyasa. MSCL inamiliki na kuendesha meli mbalimbali zinazotumika kubeba abiria na mizigo, na imekuwa mhimili muhimu katika kuunganisha maeneo ya kanda ya ziwa na mikoa mingine ya Tanzania na nchi jirani kama Kenya, Uganda, na Malawi.
Kwa miaka ya hivi karibuni, MSCL imewekeza katika ukarabati na ujenzi wa meli mpya kama sehemu ya juhudi za kuboresha huduma zake na kuchochea ukuaji wa uchumi wa kikanda. Huduma zake ni muhimu katika kukuza biashara, utalii, na usafiri wa wananchi, hasa katika maeneo yasiyofikika kwa urahisi kwa njia ya barabara. Kampuni hii pia inazingatia viwango vya usalama na ubora wa huduma, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha meli zake zinakaguliwa na kuidhinishwa na mamlaka husika kabla ya kuanza safari.
NAFASI 21 za Kazi Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) June 2025
Ili kuweza kusoma vigezo na jinsi ya kutuma maombi tafadhari bonyeza kwenye kila nafasi ya kazi hapo chini:
-
DIVER II – 3 POST
-
MOTORMAN II – 6 POST
-
ORDINARY SAILOR II – 6 POST
-
DECK OFFICER II – 6 POST
-
MARINE ENGINEER II – 5 POST
-
DEREVA VIVUKO DARAJA LA II – 1 POST