Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»NAFASI 12 za Kazi Misungwi District council July 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    NAFASI 12 za Kazi Misungwi District council July 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24July 5, 2025No Comments4 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    NAFASI 12 za Kazi Misungwi District council July 2025
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wialaya ya Misungwi amepata kibali kipya cha ajira kwa ikama ya mwaka 2024/2025 chenye Kumb.Na FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29 Aprili 2025 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Kufuatia kibali hicho Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji
    Mbulu anakaribisha maombi kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi za kazi zifuatazo :-

    Table of Contents

    Toggle
    • MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – NAFASI NNE (04)
    • DEREVA DARAJA LA II NAFASI NANE (08)
      • BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO

    NAFASI 12 za Kazi Misungwi District council July 2025

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – NAFASI NNE (04)

    MAJUKUMU YA KAZI
    i. Kuorodhesha barua zinazoingia masijala mwenye regista (Incoming Correspondence Register)
    ii. Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya Taasisi (Outgoing CorrespondenceRegister)
    iii. Kusambaza majalada kwa watendaji (Action Officers)
    iv. Kupokea majalada yanayorudi masijala kutoka kwa watendaji
    v. Kurudisha majalada kwenye shubaka/kabati la majalada (Racks/FillingCabinets) au Mahali Pengine yanapohifadhiwa.
    vi. Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani na nje ya Taasisi (File tracking)

    SIFA ZA MWOMBAJI.

    Awe na Elimu ya kidato cha Nne (IV) au cha Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya stashahada/Diploma (NTA Level 6) katika fani ya utunzaji wa kumbukumbu kutoka vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali – TGS C

    DEREVA DARAJA LA II NAFASI NANE (08)

    MAJUKUMU YA KAZI

    i. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari,
    ii. Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi,
    iii. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari,
    iv. Kutunza na kuandika daftari la safari “log book” kwa safari zote,
    v. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali
    vi. Kufanya usafi wa Gari,
    vii. Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.

    Kuajiriwa wenye cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali

    MAELEKEZO YA JUMLA.

    i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania wenye umri wa miaka 18 na usiozidi miaka 45.
    ii. Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye mfumo wa kuombea ajira Ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma.
    iii. Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na anuani ya barua pepe (E- mail Address) pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
    iv. Maombi yote yaambatane na vyeti vya Elimu na taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne au Kidato cha Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo
    mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificate – Cheti cha Mtihani wa Kidato cha nne na cha Sita, Computer Certificate, – Vyeti vya Kitaaluma (Proffessional Certificate from Respective Boards).
    v. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.
    vi. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na vimethibitishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTVET).
    vii. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
    viii. Waombaji kazi wa kada ya Dereva II wenye leseni Daraja E au C wanapaswa KUAMBATISHA vyeti vya mafunzo ya Udereva vilivyowapatia sifa ya kupata madaraja husika.
    ix. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.
    x. Waombaji watakaowasilisha taarifa na sifa za kughushi watachukuliwa hatua za kisheria.
    xi. Wasailiwa ambao majina yao yanatofautiana katika nyaraka zao wanapaswa kuwasilisha Hati ya Kiapo cha Kubadili Jina (Deed Poll) iliyosajiliwa na Wizara ya Ardhi.
    xii. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 17 Julai, 2025

    BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

    October 8, 2025

    MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

    October 8, 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    October 8, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202598 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202547 Views

    Jinsi Ya Kurudisha Channel Zilizopotea Kwenye Kisimbizi Cha Azam TV

    December 12, 202427 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Warning: Undefined array key "file" in /home/u605461473/domains/habarika24.com/public_html/wp-content/themes/smart/inc/media.php on line 688
    Makala

    Pico 4 Review: Should You Actually Buy One Instead Of Quest 2?

    8.5 By Kisiwa24January 15, 20210
    Uncategorized

    A Review of the Venus Optics Argus 18mm f/0.95 MFT APO Lens

    8.1 By Kisiwa24January 15, 20210
    Magazeti

    DJI Avata Review: Immersive FPV Flying For Drone Enthusiasts

    8.9 By Kisiwa24January 15, 20210

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202598 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202547 Views

    Jinsi Ya Kurudisha Channel Zilizopotea Kwenye Kisimbizi Cha Azam TV

    December 12, 202427 Views
    Our Picks

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.