NAFASI 12 za Kazi Bukombe District Council
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe amepokea kibali cha Ajira mpya kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi chenye Kumb.Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29.04.2025. Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma maombi kwa kada Tatu (03) kama zilivyoainishwa kwa kuzingatia sifa tajwa
NAFASI 12 za Kazi Bukombe District Council
Ili kuweza kusoma nafasi zilizopo na njia ya kutuma maombi tafadhari bonyeza linki hapo chini