Nafasi 11 za Kazi at I&M Bank Tanzania February 2025

Kwa AJIRA Mpya Kila Siku (BOFYA HAPA)

_____________________________________

Nafasi 11 za Kazi at I&M Bank Tanzania February 2025

I&M Bank Tanzania Limited Formally registered as a Financial Institution under Banking Act and moved offices to Investment House, Tanzaniatta Avenue. Following changes in the Central Bank of Tanzania regulation, I&M formally converted into a commercial bank on 1st April 1996. This change coincided with a move to a more modern setting on Koinange Street. I&M was in the process of a major restructuring exercise in 1999 to coincide with completion of 25 years of “I&M” name. The changes were initiated by the launch of a small, but important change – a new logo. This was intended to highlight I&M’s evolution from a finance company into a commercial bank. I&M’s head offices were relocated to the prestigious I&M Bank House on 2nd Ngong Avenue, Nairobi-Tanzania. This modern, spacious building was designed and built to fulfill the needs of our customers.

In January 2010, I&M Bank announced its entry into commercial banking in Tanzania with the acquisition of a majority stake in CF Union Bank Ltd (CFUB). Also participating in the equity buy-out was PROPARCO, a French Development Financial Institution, and an existing shareholder of I&M Bank.

I&M Bank Vacancies, February 2025

The bank is looking to hire qualified and competent individuals to fill new vacancies:

Ili kutusoma maelezo na njia ya kutuma maombi tafadhari bonyeza kwenye kila post ya ajira hapo chini;

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Nafasi 7 za Kazi at Barrick Gold Mine

2. Senior System Internal Auditor Vacancy at GSM February

3. Regional Sales Director at Energy Exemplar February 2025

4. Scale Customer Success Manager (French/English) at Postman February 2025

Leave your thoughts

Chuo Kikuu cha Mtakatifu John cha Tanzania (St John’s University of Tanzania – SJUT) ni chuo kikuu binafsi kinachomilikiwa na Kanisa la Anglikana Tanzania. Kimeanzishwa kwa lengo la kutoa elimu ya juu yenye msingi wa maadili, maono na huduma kwa jamii. Kiko katika mji wa Dodoma, katikati ya Tanzania, na kinatoa programu mbalimbali kuanzia shahada za kwanza hadi za juu
Smiles Dental Clinic ni kliniki ya kisasa ya meno inayotoa huduma bora kwa wagonjwa wa rika zote. Kliniki hii imejipatia sifa kwa kutumia vifaa vya kisasa na teknolojia ya hali ya juu katika kutibu matatizo mbalimbali ya meno kama vile kung’oa, kusafisha, kuweka dawa, na kufunga braces. Madaktari wake ni wataalamu wenye uzoefu mkubwa katika fani ya afya ya kinywa
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 25-05-2025 na tarehe 05-06-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi
Angalia Majina ya Walioitwa Kazini Kupitia UTUMISHI – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) 2025 Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali chenye hadhi ya Idara Huru kilichoanzishwa mahsusi kurahisisha mchakato wa ajira kwa watumishi wa umma. Sekretarieti hii ilianzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002
error: Content is protected !!