Msimamo wa Kundi B la Tanzania Mshindano ya CHAN 2024/2025

Kwa AJIRA Mpya Kila Siku (BOFYA HAPA)

_____________________________________

Afrika Mashariki inacheza soka kali katika CHAN 2025, inayoandaliwa na nchi tatu: Tanzania, Kenya na Uganda mnamo Agosti 2–30, 2025. Katika mfuko wa kundi B, Tanzania imejipanga na timu za Madagascar, Mauritania, Burkina Faso na Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR)

Hii inatoa fursa ya kipekee kwa Taifa Stars kuonyesha ukuaji wa soka la ndani mbele ya mashabiki wa nyumbani.

Muundo wa Kundi B – Timu Zilizopo

  • Tanzania (mwenyeji)

  • Madagascar

  • Mauritania

  • Burkina Faso

  • Central African Republic (CAR)

Ratiba ya Mechi Kundi B

Mechi zote za kundi B zitachezwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kwenye ratiba ifuatayo:

  • Agosti 2Tanzania vs Burkina Faso (mchezo wa ufunguzi)

  • Agosti 3Madagascar vs Mauritania

  • Agosti 6Burkina Faso vs CAR na Mauritania vs Tanzania

  • Agosti 9CAR vs Mauritania na Tanzania vs Madagascar

  • Agosti 12Madagascar vs CAR na Mauritania vs Burkina Faso

  • Agosti 16Burkina Faso vs Madagascar na CAR vs Tanzania

Msimamo wa Kundi B la Tanzania CHAN 2025

Hapa chini ni msimomo wa kudi B kundi la Tanzania kwenye mashindano ya CHAN kwa msimu wa 2024/2025

Pos Team GP W D L GF GA GD Pts
1 Tanzania 1 1 0 0 2 0 0 3
2 Madagascar 0 0 0 0 0 0 0 0
3 Mauritania 0 0 0 0 0 0 0 0
4 Central African Republic 0 0 0 0 0 0 0 0
5 Burkina Faso 1 0 0 1 0 2 -2 0

Leave your thoughts

error: Content is protected !!