Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Shule za Sekondari za Advanced (Form 5 & 6) Mkoa wa Arusha

December 23, 2025

NAFASI Za Kazi World Vision Tanzania

December 21, 2025

NAFASI Za Kazi Standard Bank Group

December 21, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Ajira»MFUMO wa Maombi ya Kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama 2025
Ajira

MFUMO wa Maombi ya Kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama 2025

Kisiwa24By Kisiwa24June 5, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

MFUMO wa Kutuma Maombi ya Kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama,(Judicial Service Commission – Job Application portal) 2025.

MFUMO wa Kutuma Maombi ya Kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama

Tume ya Utumishi wa Mahakama ni chombo huru kilichoundwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kusimamia masuala ya ajira na maendeleo ya watumishi wa Mahakama. Tume hii ina jukumu la kuhakikisha kuwa ajira, mafunzo, kupandishwa vyeo, pamoja na nidhamu ya watumishi wa Mahakama vinafanyika kwa haki, uwazi, na kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. Kwa kufanya hivyo, Tume husaidia katika kuimarisha ufanisi wa huduma za kimahakama na kuleta imani kwa wananchi kuhusu mfumo wa utoaji haki nchini.

Majukumu ya Tume hayaishii tu kwenye kusimamia ajira bali pia huchukua hatua za kiutawala katika kushughulikia malalamiko dhidi ya watumishi wa Mahakama, kuhakikisha uwajibikaji na maadili ya kazi yanafuatwa. Pia hufanya kazi kwa karibu na Mahakama ya Tanzania, Ofisi ya Jaji Mkuu na taasisi nyingine za kisheria ili kuhakikisha mfumo wa Mahakama unakuwa na rasilimali watu wenye weledi na maadili. Kwa ujumla, Tume ya Utumishi wa Mahakama ni mhimili muhimu katika kuhakikisha haki inatendeka kwa wakati na kwa usawa.

Jinsi ya Kujisajiri kwenye Mfumo wa Maombi ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama

1. Tembelea tovuti rasmi ya tume ya utumishi wa mahaka

2. Bonyeza register kama ndio mara ya kwanza kuingia kwenye mfumo

3. Jaza taarifa muhimu kama vile

  • Jina lako kamili
  • Email address yako
  • Neno siri (Pasword)

Kisha bonyeza Register

, hadi hapo utakua tayari umeingia kwenye mfumo wa Maombi ya kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama.

  • BONYEZA HAPA KUJISAJIRI NA JINSI YA KUTUMA MAOMBI

 

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleJINSI ya Kutuma Maombi ya Kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025
Next Article EWURA: Bei Mpya za Mafuta ya Petroli June 2025
Kisiwa24

Related Posts

Ajira

NAFASI Za Kazi World Vision Tanzania

December 21, 2025
Ajira

NAFASI Za Kazi Standard Bank Group

December 21, 2025
Ajira

NAFASI za Kazi Yas Tanzania

December 21, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • Shule za Sekondari za Advanced (Form 5 & 6) Mkoa wa Arusha
  • NAFASI Za Kazi World Vision Tanzania
  • NAFASI Za Kazi Standard Bank Group
  • NAFASI za Kazi Yas Tanzania
  • Sifa za Kujiunga na Chuo Cha University of Dar es salaam Computing Center (UCC)

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

December 21, 20251,998 Views

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025793 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025452 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.