Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi?
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi?
MakalaMichezo

Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi?

Kisiwa24
Last updated: January 2, 2025 7:40 pm
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 saa ngapi?, Mechi ya Yanga dhidi ya TP Mazembe ni saa ngapi?, Habari karibu katika kurasa hii fupi itakayoenda kukujibu swali lako la mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04 January 2025 itakua inachezwa saa ngapi?

Kama uko mtandaoni unatafuta kujua mchezo kati ya Yanga na   TP Mazembe wa michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika CAF utaanza mda gani basi kwenye kurasa hii utapata majibu yako. Leo 04 January 2025 Yanga inaikaribisha TP Mazembe Jijini Dar es Salaam Tanzania katika mchezo wa marudiano wa michuano ya Klabu bingwa Barani Afrika.

Taarifa kamili Kuhusu Mechi ya Yanga vs Tp Mazembe

  • Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi? #CAFCL
  • Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi? Yanga Africans Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi? TP Mazembe
  • 📆 14.12.2024
  • Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi? Benjamini Mkapa
  • 🕖 4Pm🇹🇿

Mechi Iliyopita TP Mazembe vs Yanga

Mchezo uliopita ulifanyika 14 December 2024 ikiwa ni mechi ya mzunguko wa 3, mchezo huu ulifanyika Nchini DR Congo katika uwanja wa Stade TP Mazembe na matokeo yalikua sare ya goli moja kwa moja.

Msimamo wa Kundi A

Kwenye kundi A klabu ya Yanga iko katika nafasi ya 4 ikiwa na jumla ya pointi 1 imecheza michezo 3, huku ikiwa imepoteza michezo 2 na kutoa sare mchezo 1. TP Mazembe yenyewe iko katika nafasi ya 3 ikiwa na pointi 2, imecheza michezo 3, imepoteza mchezo 1 ma kutoa sare mchezo 1.

Kundi A kwenye michguano ya klabu Bingwa Afrika linaongozwa na Al-Hilal S.C. akiwa na pointi 9 akishinda michezo yote 3, huku nafasi ya pili kisikiliwa na MC Alger akiwa na pointi 4 kashinda mchezo 1, katoa sare mchezo 1 na kupoteza mchezo 1.

Nafasi ya Yanga kwenye mechi na TP Mazembe

Yanga itampasa atumie uwanja wake wa nyumbani vizuri na kupata matokeo ya pointi tatu ili kuinua matumaini ya kuendelea na mashindano ya klabu bingwa kwenye hatua ya robo fainali, kama Yanga itashinda mchezo huu itapanda hadi nafasi ya 2 hivyo kusubili michezo miwili ya wisho.

Mashabiki wengi wa klabu ya Yanga wanamatumanini makubwa sana juu ya ushindi wa mchezo huu kwani hivi karibuni kumekua na mwendelezo mzuri kwenye ligi kuu ya NBC kwani michezo 4 ya mwishini mwa mzunguko wa kwanza ameweza kushinda kwa ushindi mzuri huku wachezaji wakiwa na juhudi za hari ya juu.

Mapendekezo ya Mhariri;

Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF

Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA

VIINGILIO Mechi ya Yanga vs TP Mazembe 04 January 2025

Ratiba ya Mechi za Liverpool Ligi Kuu ya Uingereza EPL 2024/2025

Msimamo Wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 Tanzania Bara

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Samsung Galaxy Tab S10+ – Bei na Sifa Kamili

Viwango Vya Mishahara ya Viongozi wa Serikali

Jinsi ya Kulima Bustani ya Mboga Mboga

Kikosi cha Yanga vs JKT Tanzania Leo 10 February 2025

Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Arusha Technical College

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF
Next Article NECTA Matokeo ya Kidato Cha Pili 2024/2025 NECTA Matokeo ya Kidato Cha Pili 2024/2025
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026
Nauli ya Basi Dar Es Salaam kwenda Morogoro
Nauli ya Basi Dar to Morogoro
Kampuza za Mabasi na Nauli zake
Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar
Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar
Makala
Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kigoma
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kigoma
NECTA Form Six Results 2025/2026
Alama za Ufaulu Kwa Kidato cha Sita 2025
Alama za Ufaulu Kwa Kidato cha Sita 2025
Makala

You Might also Like

Kikosi cha Simba SC vs Al Masry Leo 09 April 2025
Michezo

Kikosi cha Simba SC vs Al Masry Leo 09 April 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Timu Zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika 2025
Michezo

Timu Zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 10 Min Read
JINSI ya Kuandika Barua ya Kuomba Passport ya Kusafiria
Makala

JINSI ya Kuandika Barua ya Kuomba Passport ya Kusafiria

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Kozi za Arts Zenye Uhakika wa Ajira Nchini Tanzania
Makala

Kozi za Arts Zenye Uhakika wa Ajira Nchini Tanzania 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Shule za Sekondari za Advance Mkoa wa Shinyanga
MakalaShule za Sekondari Mikoa Yote Tanzania

Shule za Sekondari za Advance Mkoa wa Shinyanga

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Jinsi Ya Kupata Bima Ya Afya Ya NHIF
Makala

Jinsi Ya Kupata Bima Ya Afya Ya NHIF 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner