Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi?
Michezo

Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi?

Kisiwa24By Kisiwa24January 2, 2025No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 saa ngapi?, Mechi ya Yanga dhidi ya TP Mazembe ni saa ngapi?, Habari karibu katika kurasa hii fupi itakayoenda kukujibu swali lako la mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04 January 2025 itakua inachezwa saa ngapi?

Kama uko mtandaoni unatafuta kujua mchezo kati ya Yanga na   TP Mazembe wa michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika CAF utaanza mda gani basi kwenye kurasa hii utapata majibu yako. Leo 04 January 2025 Yanga inaikaribisha TP Mazembe Jijini Dar es Salaam Tanzania katika mchezo wa marudiano wa michuano ya Klabu bingwa Barani Afrika.

Taarifa kamili Kuhusu Mechi ya Yanga vs Tp Mazembe

  • Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi? #CAFCL
  • Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi? Yanga Africans Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi? TP Mazembe
  • 📆 14.12.2024
  • Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi? Benjamini Mkapa
  • 🕖 4Pm🇹🇿

Mechi Iliyopita TP Mazembe vs Yanga

Mchezo uliopita ulifanyika 14 December 2024 ikiwa ni mechi ya mzunguko wa 3, mchezo huu ulifanyika Nchini DR Congo katika uwanja wa Stade TP Mazembe na matokeo yalikua sare ya goli moja kwa moja.

Msimamo wa Kundi A

Kwenye kundi A klabu ya Yanga iko katika nafasi ya 4 ikiwa na jumla ya pointi 1 imecheza michezo 3, huku ikiwa imepoteza michezo 2 na kutoa sare mchezo 1. TP Mazembe yenyewe iko katika nafasi ya 3 ikiwa na pointi 2, imecheza michezo 3, imepoteza mchezo 1 ma kutoa sare mchezo 1.

Kundi A kwenye michguano ya klabu Bingwa Afrika linaongozwa na Al-Hilal S.C. akiwa na pointi 9 akishinda michezo yote 3, huku nafasi ya pili kisikiliwa na MC Alger akiwa na pointi 4 kashinda mchezo 1, katoa sare mchezo 1 na kupoteza mchezo 1.

Nafasi ya Yanga kwenye mechi na TP Mazembe

Yanga itampasa atumie uwanja wake wa nyumbani vizuri na kupata matokeo ya pointi tatu ili kuinua matumaini ya kuendelea na mashindano ya klabu bingwa kwenye hatua ya robo fainali, kama Yanga itashinda mchezo huu itapanda hadi nafasi ya 2 hivyo kusubili michezo miwili ya wisho.

Mashabiki wengi wa klabu ya Yanga wanamatumanini makubwa sana juu ya ushindi wa mchezo huu kwani hivi karibuni kumekua na mwendelezo mzuri kwenye ligi kuu ya NBC kwani michezo 4 ya mwishini mwa mzunguko wa kwanza ameweza kushinda kwa ushindi mzuri huku wachezaji wakiwa na juhudi za hari ya juu.

Mapendekezo ya Mhariri;

Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF

Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA

VIINGILIO Mechi ya Yanga vs TP Mazembe 04 January 2025

Ratiba ya Mechi za Liverpool Ligi Kuu ya Uingereza EPL 2024/2025

Msimamo Wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 Tanzania Bara

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleVituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF
Next Article NECTA Matokeo ya Kidato Cha Pili 2024/2025
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025442 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025439 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.