Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Makala»Matokeo ya Usaili wa Mahojiano TRA May 2025
Makala

Matokeo ya Usaili wa Mahojiano TRA May 2025

Kisiwa24By Kisiwa24May 29, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Dar es Salaam, 27 Mei, 2025

Itakumbukwa kuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilitangaza nafasi za kazi 1,596 mwanzoni mwa Februari 2025, ambapo ilipokea maombi 135,027, ambayo 113,023 yaliitwa kwenye usaili wa maandishi baada ya kufikia vigezo, na usaili huo ulifanyika tarehe 29 na 30 Machi, 2025.

Waombi waliofaulu katika usaili wa maandishi waliitwa kwenye usaili wa mazungumzo uliofanyika kati ya tarehe 12 hadi 14 Mei, 2025, ambapo waombi 6,325 waliwasailiwa. Kwa njia maalum, Mamlaka ya Mapato Tanzania inamshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa KUIDHINISHA maombi ya Mamlaka ya kuongeza nafasi za kazi 300 zilizopangwa katika Bajeti ya Mwaka 2025/26 kujazwa katika mchakato huu uliokwisha, hivyo kuongeza idadi ya wafanyakazi wataoajiriwa hadi 1,896 badala ya 1,596 awali.

Mamlaka inapenda kuwataarifu wote waliofanya usaili kuwa matokeo yatatolewa kesho, tarehe 28/05/2025, kupitia barua pepe zao zilizotumika kwa ajili ya maombi ya kazi.

Waombi 1,896 waliofaulu na kuitwa kazini wanatakiwa kufika kwenye vituo vyao vilivyowekwa tarehe 02 Juni, 2025 saa 1:00 asubuhi bila kukosa, wakiwa na vyarafa muhimu kama vilivyoelezwa kwenye barua pepe zao.

Soma Pia;

  • PDF ya Majiana Walioitwa Kazini Utumishi (Call For Work) Leo
  • Bei ya Tecno Camon 30 Series Na Sifa Kamili 
  • Bei ya Tecno Camon 12 Pamoja na Sifa Kamili
  • Bei ya Tecno Camon 15 Pamoja N a Sifa Zake
  • Bei ya Tecno Camon 17 Pamoja Na Sifa Kamili

 

Mamlaka inawashukuru wote walioonyesha nia ya kufanya kazi na Mamlaka ya Mapato Tanzania, na inawatakia kila la heri katika kujenga Taifa. Pia, waombi 4,429 walioshiriki usaili na hawakuitwa kazini, taarifa zao zitahifadhiwa kwenye hifadhidata ya Mamlaka kwa matumizi ya baadaye.

Kwa maelezo zaidi, wasiliana na Mamlaka kwa maelezo yafuatayo;-

Website: www.tra.go.tz
Toll-free numbers:
0800 780078 or 0800750075 or 0800110016
WhatsApp: 0744 23 33 33
Email: xujuzi@tra.go.tz or services@tra.go.tz

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleNafasi 3 za Kazi Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) May 2025
Next Article Nafasi za Kazi CRDB Bank May 2025
Kisiwa24

Related Posts

Ajira

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025
Makala

Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

October 9, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 20251,111 Views

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025787 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025446 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.