Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Ajira»MAMBO ya Muhimu Fomu ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025
Ajira

MAMBO ya Muhimu Fomu ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025

Kisiwa24By Kisiwa24June 5, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mambo ya kujaza kwenye fomu ya maombi ya Ajira tume ya utumishi wa Mahakama, Judicial Service Commission – Application Form 2025

MAMBO ya Muhimu Fomu ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025

Tume ya Utumishi wa Mahakama ni chombo huru kilichoundwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kusimamia masuala ya ajira na maendeleo ya watumishi wa Mahakama. Tume hii ina jukumu la kuhakikisha kuwa ajira, mafunzo, kupandishwa vyeo, pamoja na nidhamu ya watumishi wa Mahakama vinafanyika kwa haki, uwazi, na kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. Kwa kufanya hivyo, Tume husaidia katika kuimarisha ufanisi wa huduma za kimahakama na kuleta imani kwa wananchi kuhusu mfumo wa utoaji haki nchini.

Majukumu ya Tume hayaishii tu kwenye kusimamia ajira bali pia huchukua hatua za kiutawala katika kushughulikia malalamiko dhidi ya watumishi wa Mahakama, kuhakikisha uwajibikaji na maadili ya kazi yanafuatwa. Pia hufanya kazi kwa karibu na Mahakama ya Tanzania, Ofisi ya Jaji Mkuu na taasisi nyingine za kisheria ili kuhakikisha mfumo wa Mahakama unakuwa na rasilimali watu wenye weledi na maadili. Kwa ujumla, Tume ya Utumishi wa Mahakama ni mhimili muhimu katika kuhakikisha haki inatendeka kwa wakati na kwa usawa.

MAMBO ya Muhimu Fomu ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025

Baada ya kujisajiri na kuingia kwenye mfumo wa ajira tume ya utumishi wa Mahakama utaletewa fomu ya kujaza ya kutuma maombi ya kazi baada ya kuchagua kazi unayotaka kutuma maombi yako.

Hapa chini ni vitu vyote vya msingi vilivyopo kwenye fomu ya maombi ya kazi tume ya utumishi wa mahakama

A) Taarifa Binafsi(Persoal Details)

  • Majina matatu
  • Tarehe ya kuzaliwa
  • Jinsia na hali ya ndoa
  • Mahari unapoishi,Mkoa na namba ya simu
  • Kitambusho cha Taifa,Pasport Size na cheti cha kuzaliwa

B) Taarifa za Kitaaluma

  • Taarifa za kidato cha nne
  • Taarifa za kidato cha sita
  • Taarifa za elimu ya juu

C) Taarifa za kuajiriwa

  • Kama umeajiwa au hujaajiriwa

Hizo ndio taarifa zote utakazoobwa katika fomu ya maombi ya ajira kwenye mfumo wa Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleNAFASI za Kazi Halmashauri Mbalimbali Ajira Portal June 2025
Next Article JINSI ya Kutuma Maombi ya Kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025
Kisiwa24

Related Posts

Ajira

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025
Ajira

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025
Ajira

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025442 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025423 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.