Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

December 12, 2025

NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

December 12, 2025

Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa

December 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 (Caf Confederation Cup Groups)
Michezo

Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 (Caf Confederation Cup Groups)

Kisiwa24By Kisiwa24October 10, 2024No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 (Caf Confederation Cup Groups)

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025, Habari mwanasoka wa Habarika24, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukuonyesha makundi 4 ya kombe la shirikisho barani Afrika. Makundi haya yamepangwa baada ya matokeo ya Droo iliyofanywa na shirikisho la soka barani Afrika.

Mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 yanaendelea kuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki wa soka barani Afrika. Timu 24 bora zaidi kutoka kote barani zimegawanywa katika makundi sita, kila kundi likiwa na timu nne, zikishindana kwa nafasi ya kuingia hatua ya fainali za mchujo.

Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

Timu Zinazoshiriki Katika Hatua Ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika

Kunajumla ya timu 16 kutoka mataifa mbali mbali barani Afrika zilizo fuvu katika hatua ya makundi katika kombe la shirikisho barani Afrik msimu huu wa 2024/2025, klabu kutoka Tanzania,Tunisia,Algeria, Angola, South Afrika, Morocco,Senegal, Ivory Coast, Botswana,Egpt, Nigeria na Botswana.

Simba Sc ndio timu pekee inayoshiriki michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika mshimu wa 2024/2025 ikitokea Tanzania huku wapinzani wao Yanga SC yenyewe ikishiriki moja kwa moja michuano ya klabu Bingwa Afrika msimu wa 2024/2025

Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

Kundi A

  • Simba SC (Tanzania)
  • CS Sfaxien (Tunisia)
  • CS Constantine (Algeria)
  • FC Bravos do Maquis (Angola)

Kundi B

  • RS Berkane (Morocco)
  • Stade Malien (Mali)
  • Stellenbosch FC (South Africa)
  • CD Lunda-Sul (Angola)

Kundi C

  • USM Alger (Algeria)
  • ASEC Mimosas (Ivory Coast)
  • ASC Jaraaf (Senegal)
  • Orapa United (Botswana)

Kundi D

  • Zamalek SC (Egypt)
  • Al Masry SC (Egypt)
  • Enyimba FC (Nigeria)
  • A. Black Bulls (Mozambique)
Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025
Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

Hitimisho

Mashindano ya mwaka huu yanatarajiwa kuwa na ushindani mkali na yenye kusisimua. Kila timu ina nafasi ya kufanya vizuri, na historia inatuonyesha kwamba katika AFCON, mshtuko unaweza kutokea wakati wowote. Mashabiki wanatarajia kuona mpira wa kisasa, magoli ya kuvutia, na nyota mpya wakijitokeza kwenye jukwaa la Afrika.

Tunapoendelea kusubiri kickoff ya mashindano haya makubwa, ni dhahiri kwamba Afrika inaendelea kukua katika mchezo wa mpira wa miguu, na AFCON 2024/2025 itakuwa ni fursa nyingine ya kuonyesha vipaji na uwezo wa bara hili katika mchezo huu unaopendelewa na wengi duniani.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ratiba ya Mechi za Yanga Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

2. Ratiba ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 

3. Kundi la Yanga SC Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

4. Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025

5. Jinsi ya Kununua Tiketi za Mpira kupitia N Card 

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleMikopo Ya Haraka Bila Dhamana Tanzania
Next Article Ratiba Ya Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025 (CAF confederation Cup 2024/2025)
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania
  • Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa
  • Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs Majina ya Nyongeza
  • Nafasi za Kazi Taasisi Mbalimbali za Umma

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025777 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025438 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025409 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.