Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

December 12, 2025

NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

December 12, 2025

Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa

December 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025 (Caf Champions League Groups)
Michezo

Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025 (Caf Champions League Groups)

Kisiwa24By Kisiwa24October 7, 2024No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025 (Caf Champions League Groups)

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025,Makundi ya Caf Champions League 2024/25, Kundi la Yanga CAF Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 , Habari ya wakati huu mwanasoka wa Habarika24, Shirikisho la mpira wa miguu barani Afrika tarehe 7 ya mwezi October mwaka wa 2024 imweza kuchezesha droo ya hatua ya makundi kwa ligi ya klabu bingwa Afrika msimu wa 2024/2025 na kutangaza makundi makundi manne yenye timu nne kwa kila kundi. Hii ndio hatua muhimu sana iliyokua ikisubiliwa na wapenzi wa soka barani Afrika na Dunia kwa Ujumla.

Kwa wapenda soka wa Tanzania hasa mashabiki wa klabu za Simba na Yanga basi mmesha fahamu kua klabu zenu zimwewekwa na timu gani katika makundi hayo ya ligi ya klabu bingwa Afrika msimu wa 2024/2025.

Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025

Hapa tutaenda kuangazia Makundi yote manne na timu ambazo zipo katika kila kundi

Muundo wa Makundi

Timu 16 bora zimegawanywa katika makundi manne, kila kundi likiwa na timu nne. Timu hizi zitacheza mchezo wa kwenda na kurudi dhidi ya kila timu katika kundi lao. Timu mbili bora kutoka kila kundi zitaendelea hadi hatua ya robo fainali.

Kundi A

  • TP Mazembe (DR Congo)
  • Yanga (Tanzania)
  • Al Hilal SC (Sudan)
  • MC Alger (Algeria)

 Kundi B

  • Mamelodi Sundowns (South Africa)
  • Raja Club Athletic (Morocco)
  • AS FAR (Morocco)
  • AS Maniema Union (DR Congo)

Kundi C

  • Al Ahly SC (Egypt)
  • CR Belouizdad (Algeria)
  • Orlando Pirates (South Africa)
  • Stade d’Abidjan (Ivory Coast)

Kundi D

  • ES Tunis (Tunisia)
  • Pyramids FC (Egypt)
  • GD Sagrada Esperance (Angola)
  • Djoliba AC (Mali)
Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025
Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025

Matarajio ya Walio Wengi

Mashindano haya yanaahidi kuwa na mchezo wa kuvutia na wa hali ya juu. Timu za Kaskazini mwa Afrika zimeendelea kuonyesha ubora wao, lakini timu kutoka sehemu nyingine za Afrika zinaonekana kuwa na nia ya kuvunja ukabila huu.

Kwa mashabiki wa soka la Afrika, msimu huu wa Ligi ya Klabu Bingwa unakuja na ahadi ya kuona mpira wa kisasa, mikakati ya hali ya juu, na nyota chipukizi za Afrika zikipeperusha bendera za nchi zao.

Hitimisho

Tunapotazamia mechi za makundi, ni wazi kwamba kila timu itahitaji kuwa katika hali yake bora ili kufanikiwa. Historia inaonyesha kwamba hata timu zinazoonekana kuwa na nafasi ndogo zinaweza kusababisha mshtuko. Ni mashindano ya kuvutia ambayo yataendelea kuchangia katika kukuza soka la Afrika na kuleta hamasa kwa mashabiki.

Je unadhani ni timu zipi zitaibuka kidedea katika kila kundi, kwa Watanzania na mashabiki wa klabu ya Yanga Unaipa nafasi ipi kwenye kundi A? embu acha komenti yako hapo chini kwenye kijumba cha komenti.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Jinsi ya Kununua Tiketi ya Mpira Kupitia Mtandao Wa M-pesa

2. Ratiba Ya Mechi za Chelsea Zilizobaki Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) 2024/2025

3. Ratiba Ya Mechi Za Simba SC Zilizobaki Ligi Kuu Ya NBC Msimu Wa 2024/2025

4. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbali Mbali Duniani

5. Mchezaji mwenye Magoli mengi Tanzania

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleTangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Mzumbe October 2024
Next Article Msimamo Kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika 2024/2025
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania
  • Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa
  • Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs Majina ya Nyongeza
  • Nafasi za Kazi Taasisi Mbalimbali za Umma

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025777 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025438 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025410 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.