Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    El Maravilloso Mundo de Ally Spin Tu Aventura en el Casino

    November 5, 2025

    Каким способом визуальные образы усиливают впечатления

    November 5, 2025

    Эмоциональные преимущества от досуга

    November 5, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wila ya Kalambo
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wila ya Kalambo

    Kisiwa24By Kisiwa24June 8, 2025No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wila ya Kalambo
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi ya Msaidizi wa Kumbukumbu kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 27.06.2025 hadi tarehe 28.06.2025 na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wila ya Kalambo

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemu ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.

    2. Kila msailiwa anatakiwa kufika kwenye eneo la usaili akiwa amevaa Barakoa (Mask)

    3. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;

    4. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia au Hati ya kusafiria.

    5. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa,kidato cha IV, VI, Stashahada,Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na sifa za Mwombaji.

    6. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

    7. Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.

    8. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

    9. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)10. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhi vigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatia mahitaji ya tangazo husika.

    11. Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswa kuja na vyeti vyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.

    12. Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili namba ya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa siku ya usaili

    13. Wasailiwa wote mnajulishwa kuwa hali ya hewa ya Wilaya ya Kalambo ni baridi hivyo mnashauriwa kuvaa nguo zinazohimili hali ya hewa ya ubaridi.

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wila ya Kalambo

    Ili kuweza kusoma majina yote ya walioweza kutwa kwenye usaili Halmashauri ya wilaya ya Kalambo June 2025 tafadhari embu bonyeza kwenye linki hapo chini;

    • BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANGAZO

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

    October 8, 2025

    MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

    October 8, 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    October 8, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025127 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202571 Views

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania

    October 4, 202562 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Warning: Undefined array key "file" in /home/u605461473/domains/habarika24.com/public_html/wp-content/themes/smart/inc/media.php on line 688
    Makala

    Pico 4 Review: Should You Actually Buy One Instead Of Quest 2?

    8.5 By Kisiwa24January 15, 20210
    Uncategorized

    A Review of the Venus Optics Argus 18mm f/0.95 MFT APO Lens

    8.1 By Kisiwa24January 15, 20210
    Magazeti

    DJI Avata Review: Immersive FPV Flying For Drone Enthusiasts

    8.9 By Kisiwa24January 15, 20210

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025127 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202571 Views

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania

    October 4, 202562 Views
    Our Picks

    El Maravilloso Mundo de Ally Spin Tu Aventura en el Casino

    November 5, 2025

    Каким способом визуальные образы усиливают впечатления

    November 5, 2025

    Эмоциональные преимущества от досуга

    November 5, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.