Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania 2026

    March 3, 2026

    Nafasi za Kazi Kutoka Geita Gold Mining Ltd (GGM) 2026

    March 3, 2026

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania 2026

    March 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»MAJINA Walioitwa Kazini UWALIMU na Kada Mbalimbali April 2025
    Ajira

    MAJINA Walioitwa Kazini UWALIMU na Kada Mbalimbali April 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24April 6, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    MAJINA Walioitwa Kazini UWALIMU na Kada Mbalimbali April 2025

    BONYA HAPA KUTAZAMA MAJINA YOTE YA WALIMU (PDF)

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 04-09-2024 na tarehe 24-02-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi baada ya nafasi kupatikana.

    Waombaji waliofaulu usaili wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi katika Ofisi za Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma zilizopo katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwenye Majengo ya Dkt. Asha Rose Migiro, Masjala ya wazi ndani ya siku saba kutoka tarehe ya tangazo hili na baada ya hapo barua ambazo hazitachukuliwa na wahusika zitatumwa kupitia anuani zao za Posta.

    Aidha, waombaji kazi waliofaulu usaili na kupangiwa kituo cha kazi wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri katika muda ambao umeainishwa kwenye barua za kupangiwa kituo cha kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates) za masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya Ajira. Kwa wale ambao majina yao hayapo katika tangazo hili watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite kuomba kwa mara nyingine nafasi za kazi zitakapotangazwa.

    MUHIMU:

    Wanaokuja kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi wanapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi; Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Kitambulisho cha Mzanzibari Mkaazi, Kitambulisho cha Mpiga kura au Leseni ya Udereva.

    BONYA HAPA KUPAKUA TANGAO KAMILI (PDF)

    Kwa Matangazo ya Ajira Mpya kila Siku BOFYA HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleJinsi ya Kumpandisha Hisia Mwanaume Kabla ya Tendo
    Next Article Nafasi 160 za Kazi Zilizotangazwa Mwezi April 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania 2026

    March 3, 2026
    Ajira

    Nafasi za Kazi Kutoka Geita Gold Mining Ltd (GGM) 2026

    March 3, 2026
    Ajira

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania 2026

    March 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    March 3, 20261,512 Views

    SMS za Valentine Day kwa Mpenzi

    February 5, 2025547 Views

    Mishahara ya Askari wa Jeshi la Uhamiaji Tanzania 2025

    April 23, 2025410 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    March 3, 20261,512 Views

    SMS za Valentine Day kwa Mpenzi

    February 5, 2025547 Views

    Mishahara ya Askari wa Jeshi la Uhamiaji Tanzania 2025

    April 23, 2025410 Views
    Our Picks

    NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania 2026

    March 3, 2026

    Nafasi za Kazi Kutoka Geita Gold Mining Ltd (GGM) 2026

    March 3, 2026

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania 2026

    March 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.