MAJINA ya Walioitwa Kwenye USAILI Utumishi Leo 2025
MAJINA YA walioitwa KWENYE USAILI Utumishi Leo 2025, Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi na Ajira Portal 2025, Walioitwa kwenye Usaili Utumishi, majina walioitwa usaili ajira portal. Karibu katika ukrasa huu wenye PDF za majina ya walioitwa kwenye usaili Utumishi leo, wiki hii na mezi huu. Hapa utaweza kupata updates za majina kila siku waliotwa kwenye interview Utumishi au Names call for interview UTUMISHI.
Je! wewe ni miongoni mwa waliotuma maombi kupitia ajira portal an unahangaika jinsi ya kujua kama umeitwa kwenye usaili kulingana na kazi uliyoitumia maombi basi usijali kwenye kurasa hii ya kisiwa24 utaweza kusoma majina ya wote walioitwa kwenye usaili leo, wiki hii na mwezi huu 2025 katika mfumo wa PDF Document.
Hii ni PDF Document iliyo beba orodha wa majina ya waliotuma maombi ya ajira ili kuweza kupitia mchakato wa usaili kabla ya matokeo ya waliochaguliwa kuitwa kazini kutangazwa.
MAJINA YA walioitwa KWENYE USAILI Utumishi 2025
Hapa chini utaweza kupata PDF Document zenye orodha ya majina ya walioitwa kwenye Usaili UTUMISHI. Tumeweka majina kulingana na Tangazo la kuitwa kwenye usaili kama lilivyotolewa na UTUMISHI
Bonyeza kwenye kiungo unachohitaji kuangalia majina yake kulingana na wakati uliotuma maombi hapo chini (Call for Interview UTUMISHI)
Majina Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi (Call for Interview UTUMISHI) June 2025
- TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA BUKOBA 05-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MISSENYI 05-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MAFIA 05-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA 05-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA CHEMBA 05-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA HANANG 05-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA BABATI 04-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA MANISPAA YA TABORA 04-06-2025
Kuhusu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali na hadhi ya Idara ya kujitegemea iliyoanzishwa hasa ili kuwezesha mchakato wa kuajiri wa wafanyakazi katika taasisi mbalimbali za Umma. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilianzishwa na Sheria ya Utumishi wa Umma ya Nambari ya 8 0 ya 2002.
Maono ya Sekretarieti ya Ajira
- Kuwa kituo cha ubora katika huduma ya umma kuajiri katika kanda.
Dira Kuu za Sekretarieti ya Ajira (PSRS)
Kufanya kuajiri watumishi wa umma kwa kutumia mbinu za kisasa kwa kuzingatia kanuni za usawa, uwazi na sifa na pia kutoa ushauri kwa waajiri juu ya maswala yanayohusiana na ajira.
Kazi Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
- Kuajiri wafanyakazi kwenye taasisi za Umma,Jukumu kuu la PSRS ni kuwezesha kuajiri katika Huduma ya Umma.
- Kutafuta wataalamu mbalimbali wenye ujuzi maalum na kuandaa database kwa wataalamu hao kwa ajili ya kuajiri rahisi;
- Kurejista wahitimu na wataalamu kwa madhumuni ya urahisi wa rejea ya kujaza nafasi tupu;
- Kutangaza nafasi za kazi zinazotokea katika huduma ya umma;
- Kuhusisha wataalam husika kwa madhumuni ya kufanya mahojiano
- Kushauri waajiri juu ya masuala mbalimbali yanayohusiana na kuajiri, na
- Kufanya kitendo kingine chochote au kitu ambacho kinaweza kuelekezwa na Waziri anayehusika na Huduma ya Umma.
Tags: MAJINA YA walioitwa KWENYE USAILI Utumishi 2025, Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi na Ajira Portal