TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Majina Walioitwa Kazini Utumishi (Serikalini) 2025

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025 by on April 22, 2025 0 Comments

Majina Walioitwa Kazini Utumishi (Serikalini) 2025

Orodha ya Majina Walioitwa Kazini Utumishi 2025,Majina Walioitwa Kazini Utumishi na Ajira Portal, Call to work UTUMISHI, Kuitwa Kazini Serikalini,Wito Kwa Kazi UTUMISHI – Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) 2025, Habari karibu katika page hii itakayoenda kukupa mwongozo wa tangazo la kuitwa kazini UTUMISHI kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) 2025, Hapa utapata Document ya PDF yenye orodha ya majina ya walioitwa kazini Utumishi leo, wiki hii mwezi huu kupitia Sekretarieti ya Ajira (PSRS) 2025.

Kuhusu Sekretarieti ya Ajira (PSRS)

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali na hadhi ya Idara ya kujitegemea iliyoanzishwa hasa ili kuwezesha mchakato wa kuajiri wa wafanyakazi katika taasisi mbalimbali za Umma.

Maono ya Sekretarieti ya Ajira

  • Maon yetu ni kuwa kituo cha ubora katika huduma ya umma kuajiri katika kanda.

Kazi Kuu za Sekretarieti ya Ajira (PSRS)

Kazi yetu kubwa ni Kufanya kuajiri watumishi wa umma kwa kutumia mbinu za kisasa kwa kuzingatia kanuni za usawa, uwazi na sifa na pia kutoa ushauri kwa waajiri juu ya maswala yanayohusiana na ajira.

  1. Kuajiri wafanyakazi kwenye taasisi za Umma,Jukumu kuu la PSRS ni kuwezesha kuajiri katika Huduma ya Umma.
  2. Kutafuta wataalamu mbalimbali wenye ujuzi maalum na kuandaa database kwa wataalamu hao kwa ajili ya kuajiri rahisi;
  3. Kurejista wahitimu na wataalamu kwa madhumuni ya urahisi wa rejea ya kujaza nafasi tupu;
  4. Kutangaza nafasi za kazi zinazotokea katika huduma ya umma;
  5. Kuhusisha wataalam husika kwa madhumuni ya kufanya mahojiano
  6. Kushauri waajiri juu ya masuala mbalimbali yanayohusiana na kuajiri, na
  7. Kufanya kitendo kingine chochote au kitu ambacho kinaweza kuelekezwa na Waziri anayehusika na Huduma ya Umma.

 

Majina Walioitwa Kazini Utumishi

Majina Walioitwa Kazini Utumishi  2025 (Call For Work Utumishi PSRS)

Hapa chini ni majina ya walioitwa kazini leo, wiki hii na mwezi huu katika Utumishi 2025

Majina Ya Walioitwa Kazini Utumishi Na Ajira Portal April 2025

Majina Ya Walioitwa Kazini Utumishi Na Ajira Portal March 2025

Utajuaje Kama Umeitwa Kazini Kupitia Utumishi

Kama ulifanya usaili kupitia utumishi na ajira portal basi unapaswa pia kufuatilia kujua kama ulichaguliwa kua miongoni mwa walioitwa kazini baada ya kufanya usaili. Sekretarieti ya Ajira (PSRS) hutoa PDF document ambayo huwa na majina ya walioitwa kazini baada ya kufaulu usaili wao. Document hizo hupatikana kupitia tovuti rasmi ya Sekretarieti ya Ajira (PSRS)

Hivyo basi ili kujua kama umeitwa kazi kupitia utumishi tembelea tovuti rasmi ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS).

MAWASILIANO Ya UTUMISHI

Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, kwa mawasiliano yafuatayo;

Ofisi ya Rais,

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma,

SLP 2320,

Dodoma.

[email protected]

+255 (26) 2963652

Mapendekezo ya Mhariri

1. Nafasi Mpya za Kazi Ajira Portal, Utumishi na Serikalini 2025

3. Nafasi za Kazi Corporate Sales Representative Kutoka Cartrack

4. Nafasi 2 Za Kazi Kutoka Good Neighbors Tanzania January 2025

5. Nafasi 13 za Kazi Office Management Secretary II Kutoka CBE Janauary 2025

6. Nafasi 20 za Kazi Kutoka African Union (AU) January 2025

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags: ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *