MAJINA Waliochaguliwa Kujiunga Kidato Cha Tano Singida 2025
Kama unatafuta majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Singida kwa mwaka wa masomo 2025/2026, umekuja mahali sahihi! Makala hii inakuletea orodha kamili ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha Tano mkoa wa Singida 2025, mwongozo wa kuangalia majina, na hatua za kufuata baada ya kuchaguliwa.
BOFYA HAPA KUPATA MATOKEO YA UCHAGUZI MAPEMA
Jinsi ya Kuangalia Majina Waliochaguliwa Kidato Cha Tano Mkoa wa Singida 2025
- Ingia kwenye Tovuti ya TAMISEMI – Tembelea https://www.tamisemi.go.tz
- Chagua “Selform Portals” – Bonyeza kwenye kiungo cha “Form Five Selection”
- Weka Namba ya Mtihani – Ingiza namba yako ya mtihani wa kidato cha nne (CSEE)
- Bonyeza “Search” – Majina yataonekana ikiwa umechaguliwa
Hapa chini ni listi ya ya Wilaya na shule itakusaidia kutazama jina lako kwa urahisi zaidi bonyeza kwenye wilaya uliosoma kutazama jina lako;
BOFYA HAPA KUPATA MATOKEO YA UCHAGUZI MAPEMA
CHAGUA HALMASHAURI
IKUNGI DC
IRAMBA DC
ITIGI DC
MANYONI DC
MKALAMA DC
SINGIDA DC
SINGIDA MC
Ikiwa umefanikiwa kuchaguliwa kujiunga kidato cha tano Singida, hakikisha unafuata maagizo ya uandikishaji. Kwa wale ambao bado hawajaona majina yao, endelea kufuatilia mitandao rasmi ya serikali.
Maswali Yanayoulizwa Mara Kwa Mara (FAQs)
1. Je, ninaweza kukata rufaa kama sijachaguliwa?
Ndio, unaweza kufanya rufaa kupitia TAMISEMI au ofisi za elimu mkoani Singida.
2. Ni lini shule zitaanza kwa waliochaguliwa?
Kwa kawaida, shule za kidato cha tano huanza Januari kila mwaka.
3. Je, ninaweza kubadilisha chuo kama sikuridhika na kituo nilichochaguliwa?
Inawezekana kwa kufuata taratibu za kubadilisha vyuo zinazotolewa na TAMISEMI.