TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Waliochaguliwa Kujiunga Kidato Cha Tano Dar es Salaam 2025

Filed in TAMISEMI Selection by on June 6, 2025 0 Comments

KUTAZAMA MAJINA YOTE BONYEZA HAPA

Waliochaguliwa Kujiunga Kidato Cha Tano Dar es Salaam

Kama unatafuta majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Dar es Salaam kwa mwaka wa masomo 2025/2026, umekuja mahali sahihi. Makala hii itakupa taarifa kamili kuhusu majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha Tano Dar es Salaam, mfumo wa kuwatazama, na hatua zinazofuata baada ya kuchaguliwa.

Jinsi ya Kuangalia Majina Waliochaguliwa Kidato Cha Tano Mkoa wa Dar es Salaam

Ili kutazama majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Dar es Salaam, fuata hatua hizi:

  1. Tembelea Tovuti ya TAMISEMI – https://www.tamisemi.go.tz
  2. Bonyeza kwenye kiungo cha “Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Tano”
  3. Chagua Mkoa wa Dar es Salaam
  4. Ingiza namba yako ya mtihani au jina kwa ajili ya kutafuta
  5. Angalia kama jina lako liko kwenye orodha

Uchaguzi wa majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Dar es Salaam unafanywa kwa usawa na uwazi. Kama umechaguliwa, fanya maandalizi ya kuanza masomo. Kama haujachaguliwa, fanya malalamiko au subiri mzunguko wa pili.

Hapa chini ni listi ya ya Wilaya na shule itakusaidia kutazama jina lako kwa urahisi zaidi bonyeza kwenye wilaya uliosoma kutazama jina lako;

ILALA MC

KIGAMBONI MC

KINONDONI MC

TEMEKE MC

UBUNGO MC

BONYEZA HAPA KUTAZAMA MAJINA YOTE

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *