Waliochaguliwa Kujiunga Kidato Cha Tano Dar es Salaam 2025
KUTAZAMA MAJINA YOTE BONYEZA HAPA
Kama unatafuta majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Dar es Salaam kwa mwaka wa masomo 2025/2026, umekuja mahali sahihi. Makala hii itakupa taarifa kamili kuhusu majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha Tano Dar es Salaam, mfumo wa kuwatazama, na hatua zinazofuata baada ya kuchaguliwa.
Jinsi ya Kuangalia Majina Waliochaguliwa Kidato Cha Tano Mkoa wa Dar es Salaam
Ili kutazama majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Dar es Salaam, fuata hatua hizi:
- Tembelea Tovuti ya TAMISEMI – https://www.tamisemi.go.tz
- Bonyeza kwenye kiungo cha “Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Tano”
- Chagua Mkoa wa Dar es Salaam
- Ingiza namba yako ya mtihani au jina kwa ajili ya kutafuta
- Angalia kama jina lako liko kwenye orodha
Uchaguzi wa majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Dar es Salaam unafanywa kwa usawa na uwazi. Kama umechaguliwa, fanya maandalizi ya kuanza masomo. Kama haujachaguliwa, fanya malalamiko au subiri mzunguko wa pili.
Hapa chini ni listi ya ya Wilaya na shule itakusaidia kutazama jina lako kwa urahisi zaidi bonyeza kwenye wilaya uliosoma kutazama jina lako;
ILALA MC
KIGAMBONI MC
KINONDONI MC
TEMEKE MC
UBUNGO MC