Kama unatafuta majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Manyara kwa mwaka wa masomo 2025/2026, umekuja mahali sahihi. Makala hii inatoa taarifa kamili kutoka vyanzo rasmi vya serikali kuhusu wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano katika mkoa wa Manyara.
Mkoa wa Manyara una shule nyingi za serikali na binafsi zinazokubali wanafunzi wa kidato cha tano. Kila mwaka, Tume ya Mitihani ya Tanzania (NECTA) hutangaza matokeo ya kidato cha nne, na Wizara ya Elimu inatoa orodha ya waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano.
BOFYA HAPA KUPATA MATOKEO YA UCHAGUZI MAPEMA
Jinsi ya Kuangalia Majina Waliochaguliwa Kidato Cha Tano Mkoa wa Manyara
Orodha ya majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Manyara hutolewa na TAMISEMI (Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) kupitia tovuti yao rasmi. Wanafunzi wanaweza kuangalia majina yao kwa kufuata hatua zifuatazo:
- Tembelea Tovuti ya TAMISEMI: www.tamisemi.go.tz
- Chagua “Waliochaguliwa Kidato Cha Tano”
- Ingiza maelezo yako (Jina la Mtahiniwa/ Namba ya Mtihani)
- Angalia majina yaliyochaguliwa
Hapa chini ni listi ya ya Wilaya na shule itakusaidia kutazama jina lako kwa urahisi zaidi bonyeza kwenye wilaya uliosoma kutazama jina lako;
BOFYA HAPA KUPATA MATOKEO YA UCHAGUZI MAPEMA
CHAGUA HALMASHAURI
BABATI DC
BABATI TC
HANANG DC
KITETO DC
MBULU DC
MBULU TC
SIMANJIRO DC
Ili kupata orodha ya majina waliochaguliwa kujiunga kidato cha tano Manyara, hakikisha unatumia vyanzo rasmi kama TAMISEMI na NACTE. Kama hujachaguliwa, fanya malalamiko kwa wakati.
Maswali Yanayoulizwa Mara Kwa Mara (FAQ)
1. Je, ninaweza kudai nafasi nikikosa kuchaguliwa?
Ndio, unaweza kufanya malalamiko kupitia ofisi za elimu mkoani Manyara au TAMISEMI.
2. Tarehe gani majina ya waliochaguliwa hutangazwa?
Kwa kawaida, majina hutolewa baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha nne.
3. Je, ninaweza kubadilisha shule niliyochaguliwa?
Ndio, lakini inahitaji mchakato maalum wa kuomba kubadilishwa shule.