TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRAย  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Mabasi ya Dar Kwenda Mtwara

Filed in Kampuza za Mabasi na Nauli zake, Makala by on September 16, 2024 0 Comments

Mabasi ya Dar Kwenda Mtwara

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

Mabsi ya Dar kwenda Mtwara, Mabasi ya Dar to Mtwara, Habari ya wakati huu mwana Habarika24, Karibu tena katika makala hii ambayo itaenda kukupa malezo kwa ufupi juu ya kampuni za mabasi ya Dar es Salamm kwenda Mtwar.

Kama wewe ni msafiri iwe kutoka Dar kwenda Mtwara au Kutoka Mtwara kwenda Dar na bado hujafahamu ni kampuni gani za mabasi zinazotoa huduma za usafiri ndani ya mikoa hiyo basi makala hii itakua na umuhimu mkubwa sana kwako kwani itaenda kukupa maelezo ya kutosha juu ya kampuni hizo za mabasi zinazotoa huduma zake kati ya mkoa wa Dar na Mtwara.

Mabasi ya Dar Kwenda Mtwara

Njia za Usafiri kati ya Dar na Mtwara

Mkoa wa Mtwara na Dar es Salaam ni mikoa ambayo iko katika mwambo wa pwani ya bahari ya Hindi hivyo ukiwa unataka kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine unaweza kutumia njia tatu za usafiri amabzo ni pamoja na;

  1. Njia ya Anga – Ndege
  2. Njia ya Maji – boti/mashua
  3. Njia ya Aridhini – Gari

Hapa katika makala hii tutaenda kuelezea zaidi kuhusu njia ya aridhini kama unataka kusafiri kutika Dar kwenda Mtwara ua kutoka Mtwara kwenda Dar, na hasa tutajikita upande wa kampuni za mabasi zinazotoa huduma ya usafirishaji ndani ya mikoa hiyo miwili.

Aina ya Mabasi Yanayotoa Huduma ya Usafiri Kati ya Dar es Salaam na Mtwara

Kuna aina tatu za mabasi zinazo fanya safari zake katika mikoa ya Dar na Mtwara amabzo ni pamoja na;

  • Mabasi ya Daraja la kawaida (Ordinary class)
  • Mabsi ya Daraja la kati (Semi Luxury Buses)
  • Mabasi ya Daraja la Juu (Luxury/VIP Buses)

Aina ya madaraja ya mabasi yanayofanya safari kati ya mkoa wa Dar na Mtwara huletwa kutokana na ubora wa mabasi husika na hudumu zitolewazo na mabasi hayo. Madaraja haya pia ndio huleta utofauti wa gharama za nauli kutoka basi moja kwenda basi jingine.

Mabasi ya Dar Kwenda Mtwara

Hapa chini tunaenda kuandazia baadhi ya kampuni za mabasi ambazo hutoa huduma za kusafirisha watu na mizigo kati ya mkoa wa Dar es Salaam na Mtwara

1. Buti La Zungu Express

Buti La Zungu Express

Buti La Zungu Express

2. Maning Nice Higer Bus

Maning Nice Higer Bus

Maning Nice Higer Bus

3. Tashrif

Tashrif

Tashrif

4. kimbinyiko

kimbinyiko

kimbinyiko

5. ๐—•๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—–๐—น๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ถ๐—ฐ

๐—•๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—–๐—น๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ถ๐—ฐ

๐—•๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—–๐—น๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ถ๐—ฐ

6. Super Feo Express

Super Feo Express

Super Feo Express

7. Hamanju express

Hamanju express

Hamanju express

8. Hajees

Hajees

Hajees

9. Machinga trans

Machinga trans

Machinga trans

Huduma zinazotolewa na Mabasi ya Dar kwenda Mtwara

Huduma zitolewazo na mabasi haya yanayofanya safari zake kati ya mkoa wa Dar na Mtwara hutofautiana kutoka basi moja kwenda basi jingine kutokana na utofauti wa madaraja ya mabasi hayo. Mfano mabasi ya Semi luxury na Luxury hutoa huduma tofauti tofauti za ziada yawapo safarini wakati yale ya daraja la kawaida hayana huduma yoyote ile.

Hapa tunaenda kukuonyesha baadhi tu ya huduma zinazotolewa na mabsi ya daraja la kati na yale ya daraja la juu yawapo safarini;

  1. Huduma ya Vitafunwa na Vinywaji
  2. Huduma ya Internet kwa njia ya Wifi
  3. Huduma ya kutazama Runinga
  4. Huduma ya Choo kwa baadhi ya mabasi

Hitimisho

Kama ulikua ukitafuta basi ya Dar es salaam kwenda Mtwara basi tunaamini makala hii imekua na msaada mkubwa kwako lakini pia kumbuka utofauti wa huduma za mabasi kimadaraja pia hupelekea uwepo wa utofauti wa gharama za usafiri (Nauli) miongoni mwa mabasi hayo. Kwa mfano mabasi ya daraja la kati na juu huwa na gharama kubwa za nauli ukilinganisha na mabasi yaliyoko kwenye daraja la kawaida hii ni kutokana na huduma zitolewazo na mabasi hayo na hadhi ya mabasi hayo.

Kama wewe ni msafiri unayetazama tu kufika salama unako kwenda basi naamini mabasi ya daraja la kawaida yanaweza kuwa sehemu ya chaguo lako kwani hata nauli zake ni nafuu, lakini kama wewe unapenda kusafiri kifahari nadhani mabasi ya daraja la juu n kati ndio itakua chaguo lako bila kua na shaka yoyote ile,

Kama kuna kampuni yoyote ile ya mabasi inayotoe huduma zake kati ya mkoa wa Dar es Salaam na Mtwara na hatujaiwekla kwenye orodha yetu hapa basi tafadhari usiache kuitaja kwenye uwanja wa komenti hapo chini ili iwe na manufaakwa abiria wote wanaosafiri ndani ya mikoa ya Dar na Mtwara.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Musoma

2. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Arusha

3. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Mwanza

4. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Tabora

5. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Bukoba

6. Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar

7. Jinsi Ya Kuangalia usajili wa kampuni BRELA

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *