Mabasi ya Dar Kwenda Mtwara
Mabasi ya Dar Kwenda Mtwara
Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga
Mabsi ya Dar kwenda Mtwara, Mabasi ya Dar to Mtwara, Habari ya wakati huu mwana Habarika24, Karibu tena katika makala hii ambayo itaenda kukupa malezo kwa ufupi juu ya kampuni za mabasi ya Dar es Salamm kwenda Mtwar.
Kama wewe ni msafiri iwe kutoka Dar kwenda Mtwara au Kutoka Mtwara kwenda Dar na bado hujafahamu ni kampuni gani za mabasi zinazotoa huduma za usafiri ndani ya mikoa hiyo basi makala hii itakua na umuhimu mkubwa sana kwako kwani itaenda kukupa maelezo ya kutosha juu ya kampuni hizo za mabasi zinazotoa huduma zake kati ya mkoa wa Dar na Mtwara.
Mabasi ya Dar Kwenda Mtwara
Njia za Usafiri kati ya Dar na Mtwara
Mkoa wa Mtwara na Dar es Salaam ni mikoa ambayo iko katika mwambo wa pwani ya bahari ya Hindi hivyo ukiwa unataka kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine unaweza kutumia njia tatu za usafiri amabzo ni pamoja na;
- Njia ya Anga – Ndege
- Njia ya Maji – boti/mashua
- Njia ya Aridhini – Gari
Hapa katika makala hii tutaenda kuelezea zaidi kuhusu njia ya aridhini kama unataka kusafiri kutika Dar kwenda Mtwara ua kutoka Mtwara kwenda Dar, na hasa tutajikita upande wa kampuni za mabasi zinazotoa huduma ya usafirishaji ndani ya mikoa hiyo miwili.
Aina ya Mabasi Yanayotoa Huduma ya Usafiri Kati ya Dar es Salaam na Mtwara
Kuna aina tatu za mabasi zinazo fanya safari zake katika mikoa ya Dar na Mtwara amabzo ni pamoja na;
- Mabasi ya Daraja la kawaida (Ordinary class)
- Mabsi ya Daraja la kati (Semi Luxury Buses)
- Mabasi ya Daraja la Juu (Luxury/VIP Buses)
Aina ya madaraja ya mabasi yanayofanya safari kati ya mkoa wa Dar na Mtwara huletwa kutokana na ubora wa mabasi husika na hudumu zitolewazo na mabasi hayo. Madaraja haya pia ndio huleta utofauti wa gharama za nauli kutoka basi moja kwenda basi jingine.
Mabasi ya Dar Kwenda Mtwara
Hapa chini tunaenda kuandazia baadhi ya kampuni za mabasi ambazo hutoa huduma za kusafirisha watu na mizigo kati ya mkoa wa Dar es Salaam na Mtwara
1. Buti La Zungu Express

Buti La Zungu Express
2. Maning Nice Higer Bus

Maning Nice Higer Bus
3. Tashrif

Tashrif
4. kimbinyiko

kimbinyiko
5. ๐๐ฎ๐ฟ๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐๐น๐ฎ๐๐๐ถ๐ฐ

๐๐ฎ๐ฟ๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐๐น๐ฎ๐๐๐ถ๐ฐ
6. Super Feo Express

Super Feo Express
7. Hamanju express

Hamanju express
8. Hajees

Hajees
9. Machinga trans

Machinga trans
Huduma zinazotolewa na Mabasi ya Dar kwenda Mtwara
Huduma zitolewazo na mabasi haya yanayofanya safari zake kati ya mkoa wa Dar na Mtwara hutofautiana kutoka basi moja kwenda basi jingine kutokana na utofauti wa madaraja ya mabasi hayo. Mfano mabasi ya Semi luxury na Luxury hutoa huduma tofauti tofauti za ziada yawapo safarini wakati yale ya daraja la kawaida hayana huduma yoyote ile.
Hapa tunaenda kukuonyesha baadhi tu ya huduma zinazotolewa na mabsi ya daraja la kati na yale ya daraja la juu yawapo safarini;
- Huduma ya Vitafunwa na Vinywaji
- Huduma ya Internet kwa njia ya Wifi
- Huduma ya kutazama Runinga
- Huduma ya Choo kwa baadhi ya mabasi
Hitimisho
Kama ulikua ukitafuta basi ya Dar es salaam kwenda Mtwara basi tunaamini makala hii imekua na msaada mkubwa kwako lakini pia kumbuka utofauti wa huduma za mabasi kimadaraja pia hupelekea uwepo wa utofauti wa gharama za usafiri (Nauli) miongoni mwa mabasi hayo. Kwa mfano mabasi ya daraja la kati na juu huwa na gharama kubwa za nauli ukilinganisha na mabasi yaliyoko kwenye daraja la kawaida hii ni kutokana na huduma zitolewazo na mabasi hayo na hadhi ya mabasi hayo.
Kama wewe ni msafiri unayetazama tu kufika salama unako kwenda basi naamini mabasi ya daraja la kawaida yanaweza kuwa sehemu ya chaguo lako kwani hata nauli zake ni nafuu, lakini kama wewe unapenda kusafiri kifahari nadhani mabasi ya daraja la juu n kati ndio itakua chaguo lako bila kua na shaka yoyote ile,
Kama kuna kampuni yoyote ile ya mabasi inayotoe huduma zake kati ya mkoa wa Dar es Salaam na Mtwara na hatujaiwekla kwenye orodha yetu hapa basi tafadhari usiache kuitaja kwenye uwanja wa komenti hapo chini ili iwe na manufaakwa abiria wote wanaosafiri ndani ya mikoa ya Dar na Mtwara.
Mapendekezo ya Mhariri;
1. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Musoma
2. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Arusha
3. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Mwanza
4. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Tabora
5. Mabasi ya Dar es Salaam Kwenda Bukoba
6. Nauli ya Boti Dar es Salaam Kwenda Zanzibar
7. Jinsi Ya Kuangalia usajili wa kampuni BRELA
Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.
Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku