Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars)
Michezo

Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars)

Kisiwa24By Kisiwa24December 10, 2024No Comments4 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars), Habari mwanamichezo toka tanzania,kweye makala hii tutaenda kukuonyesha wachezaji 4 amabo wamecheza mechi nyingi zaidi wakiwa na timu ya Taifa stars, timu ya taifa ya Tanzania.

Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars hivi karibuni imekua na mafanikio ya kutosha hata kiufikia kutoa wachezaji wa Tanzania kwenda kucheza klabu kubwa nje ya Tanzania na hata vilabu vikubwa vilivyoko ndani ya Tanzania.

Ubora wa baadhi ya wachezaji wa vilabu kutoka nchini Tanzania haupimwi kwa juhudi zao binafsi ndani ya vilabu wanavyo chezea. Tanzania imeshuhudia uimala wa ligi yake kuu ya NBC kwa kuwa na wachezaji wazawa wenye uwezo lakini pia wengine hutoka hata nje ya mipaka ya Tanzania kuchezea vilabu vikubwa ni pamoja na ushiriki wao wa mara kwa mara kwenye timu ya taifa ya Taifa stars.

Mchezaji mwenye uwezo uwanjani pia hupimwa kwa ushiriki wake wa mara kwa mara katika timu yake ya Taifa, mfano mchezaji kama vile Simon Msuva na Mbwana Samatta, Ubora waliokua nao kwa sasa pia huchagizwa na uwepo wao katika kikosi cha timu ya Taifa Taifa Stars.

Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars)

Hapa chini ni orodha ya wachezaji 4 waliocheza mechi nyingi zaidi katika timu ya Taifa Tanzania (Tanzania)

1. Erasto Nyoni

– Nyoni ndiye mchezaji anayeshikilia rekodi ya kua mchezaji aliyeshiriki kucheza mechi nyingi zaidi katika kuitumikia timu ya taifa ya Taifa Stars. Yoni amecheza jumla ya michezo 107, akijulikana kama mchezaji mwenye nidhamu kubwa pindi alipokua na timu yaTaifa stars

Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars)

Taarifa Binafsi

  • Nyoni kazaliwa 7 Mei 1988
  • Mahari – Dar es Salaam
  • Nafasi Uwanjani- Kiungo Mkabaji

2. Mrisho Ngassa

Ngassa anashikilia nafasi ya pili kuwa mchezaji aliyeshiriki kuitumikia timu ya taifa ya Tanzania kwa kucheza michezo mingi, Mrisho Ngasa akiwa na Taifa Stars amecheja jumla ya mechi 1oo. Akiwa na Taifa Stars Ngassa aliweza kuwa na mafanikio makubwa hata kufikia kualikwa na Timu ya West United iliyoko uingereza kwa majaribio.

Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars)

Taarifa Binafsi

  • Tarehe ye Kuzaili – 5 May 1989
  • Mahari pa Kuzaliwa – Mwanza
  • Nafasi Uwanjani – Winga, Fowadi

3. Kelvin Yondani

Utakapo taja mafanikio ya timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars hasa upande wa nafasi ya ulizi huwezi kuacha kumtaja mchezaji aliyekua na kipaji cheke Kelvin Yondani. Yondani anakua ni mchezaji wa 3 katika orodha ya wachezaji waliocheza mechi nyingi zaidi katika timu ya Taifa Stars huku akiwa amecheza mechi 90 kama Mlizi wa kati (centre-back Decender)

Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars)

Taarifa Binafsi

  • Tarehe ye Kuzaili – 9 Oct 1984
  • Mahari pa Kuzaliwa – Mwanza
  • Nafasi Uwanjani – Mlizi wa Kati (centre-back Decender)

4. Simon Msuva

Uwepo wake kwenye timu ya Taifa la Tanzania ni tumaini la watanzania wengi kutokana na uwezo wake, Simon Msuva ametokea kuwa mchezaji nyota kimataifa kutokana na uwezo wake pindi awapo na timu ya taifa Taifa Stars, Huyu ndiye kipenzi cha watanzania walio wengi ukiachilia mbali Mbwana Samatta. Msuva anaingia kwenye orodha ya wachezaji wa kitanzania ambao wamecheza mechi nyingi ndani ya timu ya Taifa ya Taifa Stars huku akiwa amecheza michezo 94.

Idadi hii ya mechi alizocheza Simon Msuva haijakomea hapo kwani hadi sasa bado anashiliki katika kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania na nimiongoni mwa wachezaji hatari zaidi ndani ya kikosi cha taifa stars.

Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars)

Taarifa Binafsi

  • Tarehe ye Kuzaili – 9 Oct 1984
  • Mahari pa Kuzaliwa – Mwanza
  • Nafasi Uwanjani – Mlizi wa Kati (centre-back Decender)

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Msimamo wa Kundi la Simba Sc Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

2. Msimamo wa Kundi la Yanga Club Bingwa Afrika 2024/2025

3. Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

4. Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleOrodha ya App Nzuri za Kuangalia Mpira Live Kwenye Simu
Next Article Nafasi za Kazi Chuo cha Bugando (CUHAS) Desemba 2024
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025781 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025451 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025444 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.