KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo 25 June 2025
Leo 25 June 2025 Tanzania inaenda kushuhudia mchezo muhimu wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara unaowakutanisha Yanga Sc dhidi ya Simba Sc kwenye mchezo wa 184 mchezo wa kiporo.
Mchezo huu ndio utakao amua nani kua bingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu wa 2024/2025. Kuelekea mchezo huu Kisiwa24 Blog tunakuletea kikosi rasmi kinachoenda kucheza na Simba leo kwenye Derby ya Kariakoo.
Maelezo ya Mchezo
Ligi; Ligi kuu ya NBC (2024/2025)
Mchezo: Mchezo wa 184 (Kiporo)
Timu: Yanga Sc vs Simba Sc
Uwanja: Benjamini Mkapa, Dar es Salaam
Muda: 11:00 Jioni
KIKOSI cha Yanga Sc vs Simba Sc Leo 25 June 2025
Hapa chini ni kikosi rasmi cha Yanga kitakachoenda kucheza leo dhidi ya Simba kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC Tanzania baramchezo namba 184. Mchezo huu ndio utakao amua nani atakua bingwa wa ligi kuu ya NBC kwa msimu wa 2024/2025.