⇒VIDEO ZA CONNECTION ZA WAKUBWA TU 18+ (BOFYA HAPA)

  _____________________________________

Kwa AJIRA Mpya Kila Siku (BOFYA HAPA)

_____________________________________

Kikosi cha Taifa Stars Dhidi ya Ethiopia Leo Septemba 4 2024

Kikosi cha Taifa Stars Dhidi ya Ethiopia Leo Septemba 4 2024

Kikosi cha Taifa Stars Dhidi ya Ethiopia Leo Septemba 4 2024

Habari ya wakati huu mwana Habarika24, karibu tena katika website yetu, leo tumepata fursa ya kukuletea kikosi cha taifa stars kinachotarajiwa kucheza na Timu ya Taifa ya Ethiopia.Mchezo huu ni muhimu sana kwa Taifa Stars kwenye kufuzu katika michuano ya AFCON mwaka 2025.

Kikosi cha Taifa Stars Dhidi ya Ethiopia Leo Septemba 4 2024
Kikosi cha Taifa Stars Dhidi ya Ethiopia Leo Septemba 4 2024

Muda Wa kuanza Mchezo

Mchezo huu unatarajiwa kuanza kunako majira ya saa MOJA za jioni katika uwanja wa Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam

Kikosi cha Taifa Stars Vs Ethiopia Leo September 4, 2024

Kocha mkuu wa taifa stars ameweza kutangaza majina ya wachezaji watakao enda kushiriki mchezo wao wakufuzu michuano ya AFCON msimu wa 2025. Wachezaji hao wameitwa kutoka vilabu tofauti tofauti ili kukamilisha idadi ya wachezaji wanaohitajika.

Hapa tumeweka majina ya wachezaji kutokana na nafaSI ZAO ZA UCHEZAJI;

Kikosi cha Taifa Stars Dhidi ya Ethiopia Leo Septemba 4 2024
Kikosi cha Taifa Stars Dhidi ya Ethiopia Leo Septemba 4 2024

Magolikipa:

  • Ally Salim – Simba SC
  • Abdultwalib Mshery – Young Africans
  • Yona Amos – Pamba SC

Mabeki:

  • Lusajo Mwaikenda kutoka Azam FC
  • Nathaniel Chilambo kutoka Azam FC
  • Mohamed Hussein kutoka Simba SC
  • Dickson Job kutoka Young Africans
  • Pascal Msindo kutoka Azam FC
  • Ibrahim Hamad kutoka Young Africans
  • Bakari Nondo kutoka Young Africans
  • Nickson Kibabage kutoka Young Africans

Nafasi ya Viungo:

  • Abdulmalik Zakaria kutoka Mashujaa FC
  • Adolf Mtasigwa kutoka Azam FC
  • Himid Mao kutoka Tala’a El Geish, Misri
  • Novatus Dismas kutoka Goztepe, Uturuki
  • Mudathir Yahya kutoka Young Africans
  • Hussein Semfuko kutoka Coastal Union
  • Edwin Balua kutoka Simba SC
  • Feisal Salim kutokja Azam FC

Washambuliaji:

  • Wazir Junior Kutoka Dodoma Jiji
  • Cyprian Kachwele kutoka Vancouver Whitecaps, Canada
  • Clement Mzize kutoka Young Africans
  • Abel Josiah kutoka TDS TFF Academy

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!