KIKOSI cha Simba vs Yanga Leo 25 June 2025
Kuelekea mchezo wa mwisho wa kuhitimisha ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu wa 2024/2025 kati ya Yanga dhidi ya Simba mchezo utakaochezwa kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa, hapa tunakuletea kikosi rasmi cha Simba Sc kitakachoenda kucheza dhidi ya Yanga Sc.
Maelezo ya Mchezo
Ligi; Ligi kuu ya NBC (2024/2025)
Mchezo: Mchezo wa 184 (Kiporo)
Timu: Yanga Sc vs Simba Sc
Uwanja: Benjamini Mkapa, Dar es Salaam
Muda: 11:00 Jioni
KIKOSI cha Simba vs Yanga Leo 25 June 2025
Hapa chini ni kikosi rasmi cha Simba Sc dhidi ya Yanga Sc leo 25 Juni 2025, kwenye mchezo wa Darby ya Kariakoo mchezo utakaoenda kuamua bingwa wa ligi kuu ya NBC kwa msimu wa 2024/2025