TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kikosi Cha Simba vs Tabora United Leo 02/02/2025

Filed in Michezo by on February 2, 2025 0 Comments

Kikosi Cha Simba vs Tabora United Leo 02/02/2025

Habari mwanamichezo wa Kisiwa24 Blog, karibu kwenye kurasa hii ya kimichezo ambayo itaenda kukupa maelezo ya kina kuhusu kikosi cha Simba SC kitakachoenda kucheza na Tabora United leo siku ya Jumapili ya tarehe 02/02/2025.

Baada ya kusimama kwa ligi kuu ya NBC jana jumamosi 01/02/2025 imerejea tena kwa mchezo wa kiporo kuchezwa kati ya Yanga vs Kagera Sugar.Leo wapenzi wa soka pia wataenda kushuhudia mchezo mwingine kati ya Simba SC vs Tabora United mchezo utakao fanyika mkoani Tabora

Kikosi Cha Simba vs Tabora United Leo 02/02/2025

Mchezo wa Kwanza

Mchezo wa kwanza uliofanyika jijini Dar es Salaam Simba SC iliibuka na ushindi wa goli 3 kwa sifuri, leo n mchezo wa muhimu sana kwa klabu ya Simba kwani matokeo ya ushindi wa Yanga hapo jana yalipelekea Simba kushuka hadi nafasi ya 2 kwa pointi 2 nyuma ya Yanga mwalioko katika nafasi ya 1.

Kikosi Cha Simba vs Tabora United Leo 02/02/2025

Kisiwa24 Blog tuko hapa kuweza kukupa taarifa za kikosi kitakachoenda kucheza dhidi ya Tabora United leo. Kikosi kitatoka lisaa limoja kabla ya mchezo kuanza lakini tunatumaini kikosi hicho kitakua kama hapa chili.

  • Moussa Camara
  • Hussein Abel
  • Ahmed Feruz
  • Mohamed Hussein
  • Shomari Kapombe
  • David Kameta
  • Edwin Balua
  • Che Fondoh Malone
  • Fabrice Ngoma
  • Hamisi Abdallah
  • Ladack Chasambi
  • Mzamiru Yassin
  • Willy Esomba Onana
  • Freddy Michael
  • Lameck Lawi
  • Joshua Mutale
  • Steven Dese Mukwala
  • Jean Charles Ahoua
  • Abdulrazack Mohamed Hamza
  • Valentino Mashaka
  • Augustine Okejepha
  • Debora Fernandes Mavambo
  • Omary Omary
  • Karaboue Chamou
  • Valentin Nouma
  • Yusuph Kagoma
  • Kelvin Kijili
  • Elie Mpanzu
  • Awesu Awesu

Baada ya kikosi kutoka tutakiweka hapa

Msimamo wa ligi Kuu ya NBC 2024/2025

Pos Club P W D L GF Pts
1 Young Africans 16 14 0 2 36 42
2 Simba 15 13 1 1 31 40
3 Azam 16 11 3 2 25 36
4 Singida BS 16 9 3 4 22 30
5 Tabora UTD 15 7 4 4 19 25
6 Fountain Gate 16 6 2 8 24 20
7 Mashujaa 16 4 7 5 14 19
8 JKT Tanzania 16 4 7 5 10 19
9 Dodoma Jiji 16 5 4 7 16 19
10 KMC 16 5 4 7 11 19
11 Coastal Union 16 4 6 6 16 18
12 Namungo 16 5 2 9 11 17
13 Tanzania Prisons 16 4 5 7 7 17
14 Pamba Jiji 16 2 6 8 7 12
15 Kagera Sugar 16 2 5 9 10 11
16 KenGold 16 1 3 12 11 6

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ratiba Ya Mechi za Yanga Februari 2025 NBC Premier League

2. Ratiba Ligi kuu ya NBC Bara Mzunguko wa Pili 2024/2025

3. Tabora Utd vs Simba Sc Leo 2/02/2025 Saa Ngapi?

4. Ligi Bora Africa 2025

Kwa Matangazo ya AJIRA Mpya kila siku BONYEZA HAPA

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!