Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Kikosi cha Simba VS KenGold Leo 18/12/2024
Michezo

Kikosi cha Simba VS KenGold Leo 18/12/2024

Kisiwa24By Kisiwa24December 18, 2024No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Kikosi cha Simba VS KenGold Leo 18/12/2024

Habari mwana Simba SC hapa tutaenda kukuonyesha kikosi kitakachoenda kucheza KenGold katika mechi ya leo 18/12/2024 kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC. Simba inarudi kwenye ligi kuu baada ya kusimama kwa muda kidogo ili kushiriki kwenye michuano ya kombe la shirikisho Barani Afrika.

Leo Simba inaikaribisha klabu ya KenGold na hapa tutaenda kukuonyesha kikosi kitakachoenda kucheza na Kengold, Hadi sasa klabu ya Simba ipo kwenye nafasi ya 2 ya msimamo wa ligi ya NBC ikiwa na pointi 28 nyuma ya Azam FC kwa pointi 2 na ikitokea Simba akashinda mchezo wa leo ata panda hadi nafasi ya 1 kwa pointi moja kwani atakua amefikisha alama 31.

Kikosi cha Simba VS KenGold Leo 18/12/2024

Kikosi kitakachoanza kwenye mchezo wa Simba dhidi ya KenGold bado hakijatangazwa ila hapa chini tunamajina ya wachezaji wa klabu ya Simba amabao miongoni mwao ndio kikosi cha Simba kitaundwa dhidi ya KenGold.

  1. Moussa Camara (26)
  2. Shomari Kapombe (12)
  3. Mohamed Hussein (15)
  4. Karaboue Chamou (2)
  5. Che Malone (20)
  6. Fabrice Ngoma (6)
  7. Joshua Mutale (7)
  8. Augustine Okajepha (25)
  9. Leonel Ateba (13)
  10. Kibu Denis (38)
  11. Ladaki Chasambi (36)
  12. Ally Salim (1)
  13. Valentin Nouma (29)
  14. Hussein Kazi (4)
  15. Debora Fernandes (17)
  16. Mzamiru Yassin (19)
  17. Awesu Awesu (23)
  18. Jean Charles Ahoua (10)
  19. Steven Mukwala (11)
  20. Benjamin William (50)
  21. Habil Masoud (52)

Kikosi kitakapo tangazwa basi tutakiweka hapa

NB; Je kama ungepewa nafasi ya kuweza kutengeneza kikosi cha Simba vs KenGold leo 18/12/2024 unge panga wachezaji gani? embu weka komenti yako kwenye eneo la komenti hapo chini

Mapendekezo ya Mhariri

1. Matokeo ya Simba SC Vs KenGold Leo 18/12/2024

2. Tetesi za Usajili Dirisha Dogo Ligi Kuu NBC Tanzania Bara

3. Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

4. Orodha ya Makombe yenye Thamani Kubwa Zaidi Barani Ulaya

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleMatokeo ya Simba SC Vs KenGold Leo 18/12/2024
Next Article Ratiba ya Mechi za Leo Jumatano 18/12/2024
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025783 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025543 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025445 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.