KIKOSI Cha Simba Sc vs RS Berkane Leo 17 May 2025

Kwa AJIRA Mpya Kila Siku (BOFYA HAPA)

_____________________________________

Kikosi cha Simba Sc vs RS Berkane leo 17 May 2025, Baada ya safari ndefu ya michuano ya Kombe la shirikisho balani Afrika (CAF Confideration Cup) kwa myama Simba Sc hatimae nusu fainali ya mkondo wa kwanza imewadia. Leo tarehe 17 May 2025 klabu ya Simba itakua ugenini ikicheza mchezo wake wa kwanza wa nusu fainali dhidi ya klabu ya RS Berkane nchini Morroco katika uwanja wa Stade municipal de Berkane.

KIKOSI Cha Simba Sc vs RS Berkane Leo 17 May 2025

Maelezo yz Mchezo

Aina ya Mchezo: Nusu fainali CAF Confederation CUP 2024/2025

Timu: RS Berkane vs Simba Sc

Nchini: Morocco

Uwanja: Stade municipal de Berkane

Muda: 22:00 PM

Kuelekea mchezo huu unaosubiliwa kwa hamu Kisiwa24 Blog tutakuwekea hapa vikosi vya timu zote 2, Kikosi cha Simba Sc vs RS Berkane na Kikosi cha RS Berkane dhidi ya Simba Sc leo 17 May 2025 kwenye mchezo wa kwanza wa nusu fainali za kombe la shirikisho Afrika (CAF Confideretion CUP Semi Final first leg)

KIKOSI Cha Simba Sc vs RS Berkane 17 May 2025

Hapa chini ni kikosi cha myama Simba Sc kitakachocheza dhidi ya RS Berkane kwenye mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya kombe la shirikisho Afrika leo 17 Mei 2025.

KIKOSI Cha RS Berkane dhidi ya Simba Sc Leo 17 May 2025

Pia hapa tutaangazia kikosi kitakachoenda kumzuia mnyama Simba kwenye mchezo wa leo wa nusu fainali

 

Pia Unaweza Kusoma Hii hapa

Leave your thoughts

error: Content is protected !!