KIKOSI cha Simba Sc vs Kagera Sugar Leo 22 June 2025
Leo Jumapili ya tarehe 22 June 2025 klabu ya Simba itaikaribisha klabu ya Kagera Sugara katika uwanja wake wa nyumbani jijini Dar es Salaam kwenye mchezo wa round ya 30 wa ligi kuu ya NBC.
Kuelekea mchezo huu klabu ya Simba kwa namna yoyote ile inahitaji ushindi ili kuendelea kua na matumaini ya kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwani hadi sasa Klabu ya Simba iko kwenye nafasi ya 2 kwa utofauti wa pointi moja na klabu ya Yanga iliyoko kwenye nafasi ya kwanza ya msimamo wa ligi hiyo.
Kuwelekea mchezo huu Kisiwa24 blog tunakuletea vikosi vya klavu zote 2 vitakavyoenda kucheza kwenye mchezo wa leo mchezo wa round ya 30 ya ligi kuu ya NBC Tanzania bara.
Soma Pia
KIKOSI cha Simba Sc vs Kagera Sugar Leo 22 June 2025
Malezo ya Mchezo
Ligi: Ligi kuu ya NBC
Mchecho: Mchezo wa Round ya 30
Timu: Simba Sc vs Kagera Sugar
Uwanja: KMC Complex Dar es Salaam
Muda: 10:00 Jioni
KIKOSI cha Simba Sc vs Kagera Sugar Leo 22 June 2025
Hapa chini ni kikosi cha Simba dhidi ya Kagera Sugar leo jumapili ya tarehe 22 june 2025 mchezo utakaochezwa jijini Dar es Salaam kwenye uwanja wa KMC Complex
KIKOSI cha Kagera Sugar vs Simba Sc Leo 22 June 2025
Hapa chini ni kikosi kamili cha Gagera Sugar kuelekea mchezo wa leo wa round ya 30 kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania bara