Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA
    Makala

    Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA

    Kisiwa24By Kisiwa24January 2, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA Kombe la Shirikisho,Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA, Habari mwana Simba SC Karibu katika makala hii ya kimichezo ambayo itanda kukuonyesha orodha ya wachezaji waliosafiri kuelekea TUNISIA ili kukipiga na klabu ya CS FAXIEN kwenye mchezo wa hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika.

    May be an image of 1 person, playing football, playing soccer and text

    Kikosi cha jumla ya wachezaji 20 kimeshaondoka kuelekea Tunisia huki wakipitia Istanbul, Uturuki. Simba inaenda kuvaana na klabu ya CS FAXIEN ikiwa ni mchezo wa roundi ya 4 na mchezo wa marudiano baina ya klabu hizo 2. Mchezo wao wa kwanza ulichezwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa na Simba iliweza kuibu na ushindi wa goli 2 kwa 1 mchezo uliochwza 15 December 2024.

    Hiki Hapa Kikosi Cha Simba Kilichosafiri Kwenda TUNISIA

    Hapa chini ni majina ya wachezaji walioweza kusafiri kuelekea Tunisia kuvaana na CS FAXIEN kwenye mchezo wa marudiano katika roundi 4 utakaofanyika tarehe 05 January 2025.

    Walinda Mlango (Goalkeepers)

    1. Mouse Camera
    2. Hussin Abel
    3. Ally Salim

    Safu ya Ulinzi (Defenders)

    1. Karaboue Chamau
    2. Che Malone Fondoh
    3. Valentin Nouma
    4. Abrazak Hamza
    5. Mohamed Hussein
    6. Shomari Kapombe
    7. Kelvin Kijili

    Safu ya Viungo (Midfielders)

    1. Mzamiri Yasin
    2. Awesu Awesu
    3. Fabrice Ngoma
    4. Jean Charles Ahour
    5. Yusuph Kagoma
    6. Elie Mpanzu
    7. Augustine Okejepha
    8. Kibu Denis
    9. Debora Fenandes
    10. Ladaki Chasamba

    Safu ya Ushambuliaji (Strikers)

    Upande wa safu ya ushambuliaji klabu ya Simba imesafiri na

    1. Leonel Ateba
    2. Steven Mukwale

    Tazama Picha Ya kikosi cha Simba SC kilichosafiri kuelekea TUNISIA ili kuivaa klabu ya CS FAXIEN kwenye mchezo muhimu wa marudiano.

    Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA

    Simba anakutana na klabu ya CS FAXIEN akiwa na jumla ya ponti 6 kwenye kombe la shirikisho kundi A , Ili kujiwekea mazingira mazuri ya kuendelea mbele klba ya Simba inahitaji kushionda mchezo huu kwa namna yoyote ile.

    Kwenye msimamo wa kundi A kombe la shirikisho Afrika klabu ya Simba ipo katika nafasi ya 3 huku nafasi ya kwanza ikishikiliwa na F.C. Bravos do Maquis kwa pointi 6 vile vile

    Hadi sasa klabu ya Simba imesha chezo michezo 3 na kushinda michezo 2 na kupoteza mchezo 1.

    Mtarajio ya Mashabiki wa Klabu ya Simba

    Mashabiki wengi kwa sasa wanaimani kubwa kwa timu yao hasa ukiangalia inavyofanya vizuri kwenye ligi kuu ya NBC, kwa sasa klabu ya Simba ndio inayoongoza ligi ya NBC kwa ponti 1 mbele ya watani wao Yanga SC.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRatiba Ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025
    Next Article Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202548 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202548 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.