Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Makala»Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA
Makala

Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA

Kisiwa24By Kisiwa24January 2, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA Kombe la Shirikisho,Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA, Habari mwana Simba SC Karibu katika makala hii ya kimichezo ambayo itanda kukuonyesha orodha ya wachezaji waliosafiri kuelekea TUNISIA ili kukipiga na klabu ya CS FAXIEN kwenye mchezo wa hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika.

May be an image of 1 person, playing football, playing soccer and text

Kikosi cha jumla ya wachezaji 20 kimeshaondoka kuelekea Tunisia huki wakipitia Istanbul, Uturuki. Simba inaenda kuvaana na klabu ya CS FAXIEN ikiwa ni mchezo wa roundi ya 4 na mchezo wa marudiano baina ya klabu hizo 2. Mchezo wao wa kwanza ulichezwa katika uwanja wa Benjamini Mkapa na Simba iliweza kuibu na ushindi wa goli 2 kwa 1 mchezo uliochwza 15 December 2024.

Hiki Hapa Kikosi Cha Simba Kilichosafiri Kwenda TUNISIA

Hapa chini ni majina ya wachezaji walioweza kusafiri kuelekea Tunisia kuvaana na CS FAXIEN kwenye mchezo wa marudiano katika roundi 4 utakaofanyika tarehe 05 January 2025.

Walinda Mlango (Goalkeepers)

  1. Mouse Camera
  2. Hussin Abel
  3. Ally Salim

Safu ya Ulinzi (Defenders)

  1. Karaboue Chamau
  2. Che Malone Fondoh
  3. Valentin Nouma
  4. Abrazak Hamza
  5. Mohamed Hussein
  6. Shomari Kapombe
  7. Kelvin Kijili

Safu ya Viungo (Midfielders)

  1. Mzamiri Yasin
  2. Awesu Awesu
  3. Fabrice Ngoma
  4. Jean Charles Ahour
  5. Yusuph Kagoma
  6. Elie Mpanzu
  7. Augustine Okejepha
  8. Kibu Denis
  9. Debora Fenandes
  10. Ladaki Chasamba

Safu ya Ushambuliaji (Strikers)

Upande wa safu ya ushambuliaji klabu ya Simba imesafiri na

  1. Leonel Ateba
  2. Steven Mukwale

Tazama Picha Ya kikosi cha Simba SC kilichosafiri kuelekea TUNISIA ili kuivaa klabu ya CS FAXIEN kwenye mchezo muhimu wa marudiano.

Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA

Simba anakutana na klabu ya CS FAXIEN akiwa na jumla ya ponti 6 kwenye kombe la shirikisho kundi A , Ili kujiwekea mazingira mazuri ya kuendelea mbele klba ya Simba inahitaji kushionda mchezo huu kwa namna yoyote ile.

Kwenye msimamo wa kundi A kombe la shirikisho Afrika klabu ya Simba ipo katika nafasi ya 3 huku nafasi ya kwanza ikishikiliwa na F.C. Bravos do Maquis kwa pointi 6 vile vile

Hadi sasa klabu ya Simba imesha chezo michezo 3 na kushinda michezo 2 na kupoteza mchezo 1.

Mtarajio ya Mashabiki wa Klabu ya Simba

Mashabiki wengi kwa sasa wanaimani kubwa kwa timu yao hasa ukiangalia inavyofanya vizuri kwenye ligi kuu ya NBC, kwa sasa klabu ya Simba ndio inayoongoza ligi ya NBC kwa ponti 1 mbele ya watani wao Yanga SC.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleRatiba Ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025
Next Article Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025442 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025441 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.