TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Jinsi Ya Kulipa Kwa Lipa Namba M-Pesa Vodacom

Filed in Makala by on January 28, 2025 0 Comments

Jinsi Ya Kulipa Kwa Lipa Namba M-pesa Vodacom kwa Wateja wa Mitandao Mingine (Tigo Pesa, Airtel Money/Zantel, Halotel – Halopesa) – Jinsi ya Kulipa kupitia Namba ya Lipa M-Pesa/Mpesa Merchant. Lipa kwa Simu kwa Kutumia Programu ya M-Pesa.

‘Lipa kwa M-Pesa’ ni huduma ya malipo ya wafanyabiashara ya Vodacom iliyozinduliwa Novemba 2016 ili kubadilisha malipo katika mfumo wa rejareja Tanzania na kuwezesha wafanyabiashara na wauzaji kukusanya malipo kwa urahisi huku ikisaidia wateja kuepuka hatari na mizigo ya kubeba pesa taslimu. Machi 2017 Vodacom iliboresha huduma hii kwa kuzindua programu mpya ya M-Pesa ambayo pamoja na faida zingine, inaunga mkono malipo ya msimbo wa QR ambayo inaondoa ugumu wa uzoefu wa malipo kwa kuondoa haja ya kuandika namba za till katika sehemu za rejareja.

Misimbo ya QR ni mpya katika majukwaa ya pesa za simu nchini Tanzania, iliyotengenezwa kuwezesha urahisi na ustadi wa miamala ya M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money na Halopesa. Misimbo ya QR inatoa njia ya haraka ya kuruka hatua ambapo mlipaji anahitaji kuingiza maelezo ya akaunti ya mlipwaji. Kwa kusikana msimbo wa QR wa mfanyabiashara, mteja hupata moja kwa moja taarifa kuhusu namba ya till au akaunti ya benki ya mfanyabiashara.

Jinsi Ya Kulipa Kwa Lipa Namba M-pesa Vodacom

Hapa chini tutaenda kuykuonyesha hatua kwa hatua namna unavyoweza kufanya malipo kwa mfanyabiashara wa Vodsacom kwa kutumia Lipa namba M-Pesa.

A) Lipa kwa kutumia USSD Code

Kwa wateja wa mtandao wa Vodacom unaweza  Kutumia USSD kode zifuatazo ili kuweza kutumia huduna ya Lipa namba M-Pesa
1. Bonyeza *150*00#
2. Chagua Lipa kwa simu
3. Ingiza namba ya Lipa
4. Ingiza kiasi cha Tshs
5. Ingiza PIN ya M-Pesa
6. Utapokea SMS kuthibitisha muamala

B) Lipa kwa Programu (App) ya M-Pesa

Pia Unaweza Kufanya malipo kwa kutumia Lipa namba M-Pesa kwa kupitia Programu (App) ya vodacom. Ili kuweza kutumia njia hii tafadhari embu fuata hatua zifuatazo

1. Fungua programu ya M-Pesa na gusa ikoni ya QR upande wa juu kulia

2. Skana msimbo wa QR ulio kwenye meza/stika

3. Ingiza kiasi na PIN kukamilisha muamala

Jinsi ya Kulipa Kwa Lipa Namba Kwa Wateja wa Tigo Pesa

Kwa wateja wa mtandao wa tigo unaweza kulipa kwa lipa namba ya Tigo Pesa kwa kufuata hatua zifuatazo kwa umakini zaidi

1. Bonyeza *150*00#

2. Chagua tuma pesa

3. Chagua kwenda mitandao mingine

4. Chagua M-Pesa

5. Ingiza namba ya Lipa (tarakimu saba)

6. Ingiza kiasi cha Tshs na PIN

7. Utapokea SMS kuthibitisha muamala

Jinsi ya Kulipa Kwa Lipa Namba Kwa Wateja wa Halotel

Ikiwa wewe unatumia mtandao wa halotel basi embu fuata hatua hizi hapa chini

1. Bonyeza *150*88#

2. Chagua tuma pesa

3. Chagua kwenda mitandao mingine

4. Chagua M-Pesa

5. Ingiza namba ya Lipa (tarakimu saba)

6. Ingiza kiasi cha Tshs na PIN

7. Utapokea SMS kuthibitisha muamala

Jinsi ya Kulipa Kwa Lipa Namba Kwa Wateja wa Zantel

Pia huduma ya lipa kwa namba haijawaacha wateja wa mtandao wa Zantel, ikiwa unatumia mtandao wa Zantel basi unaweza kufuata hatua hizi hapa chini;

1. Bonyeza *150*02#

2. Chagua tuma pesa

3. Chagua kwenda mitandao mingine

4. Chagua M-Pesa

5. Ingiza namba ya Lipa (tarakimu saba)

6. Ingiza kiasi cha Tshs na PIN

7. Utapokea SMS kuthibitisha muamala

Jinsi ya Kulipa Kwa Lipa Namba Kwa Wateja wa Airtel

Kama wewe ni mtumiaji wa mtyandao wa Airtel Money basi fuata hatua hizi hapa chini ilikuweza kutumia huduma ya lipa namba

1. Bonyeza *150*60#

2. Chagua tuma pesa

3. Chagua kwenda mitandao mingine

4. Chagua M-Pesa

5. Ingiza namba ya Lipa (tarakimu saba)

6. Ingiza kiasi cha Tshs na PIN

7. Utapokea SMS kuthibitisha muamala

Kufanya Malipo kutoka Katika Akaunti za Benki

1. Fungua menyu ya huduma za kifedha za benki yako

2. Chagua malipo

3. Chagua lipa kwa

4. Chagua Lipa kwa M-Pesa

5. Ingiza namba ya Lipa (tarakimu saba)

6. Ingiza kiasi cha Tshs ikifuatiwa na PIN ya benki yako

7. Utapokea SMS kuthibitisha muamala

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Jinsi ya Kuweka na Kutoa Call Barring Kwenye Simu Yako

2. Jinsi ya Kuweka na Kutoa Call Forwarding Kwenye Simu Yako

3. Jinsi ya Kukopa Salio Airtel

4. Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

5. Bei ya Nauli ya Ndege kutoka Dar kwenda China

Kwa Matangazo ya AJIRA Mpya kila siku BONYEZA HAPA

Tags: ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!