Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni
    Makala

    Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

    Kisiwa24By Kisiwa24November 16, 2024No Comments4 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni, Kukata tiketi ya basi kwa njia ya Simu, Habari ya wakati huu ewe msafiri wa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine kwa usafiri wa basi, karibu katika makala hii fupi ambayo itaenda kukupa mongozo wa jinsi ya kukata tiketi ya basi mtandaoni. Je unatarajia kusafiri kutumia usafiri wa basi, basi makala hii itakua na umuhimu mbwa sana kwako kwani utaweza kujua jinsi ya kuweza kukata tiketi yako kwa njia ya mtandao (Kukata tiketi ya basi kwa Simu).

    Kumekua na maswali mengi yanayoulizwa na baadhi ya abiria juu ya kama inawezekana kwa msafiri kuweza kukata tiketi yake kwa njia ya mtandao (Online tiket), jibu ni ndio lakini ni kwa baadhi ya kampuni za mabasi zenye kutoa huduma za ukataji wa tiketi kwa njia ya mtandao.

    Umuhimu wa Huduma Ya Kukata Tiketi Mtandaoni

    Njia hii ya kukata tiketi kwa njia ya mtandao inafaida kubwa sana, miongoni mwa faidia za kukata tiketi kwa njia ya mtandao ni pamoja na;

    1. Kuepuka foleni ya ukataji wa tiketi
    2. Huchukua mda mfupi zaidi
    3. Usalama wa kifedha
    4. uchaguzi wa siti ya basi
    5. Kuepusha gharama

    Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

    Makampuni baadhi ya usafirishaji kwa njia ya basi wameweza kurahisisha mchakato wa ukataji wa tiketi za mabasi kwa kuanzisha mifumo ya mdandaoni ya ukataji wa tiketi. Hapa tutaenda kuangazia baadhi ya makampuni na jinsi unavyoweza kukata tiketi kupitia makampuni hayo

    Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

    1. Abood Bus Service

    Abood ni moja kati ya kampuni za mabasi kubwa na za muda mrefu kama wewe ni msafiri kwenye mkoa ambao basi za Abood zinafanya safari zake basi habari njema ni kua kwa kutumia simu au kifaa chako chenye uwezo wa kuindia mtandaoni unaweza kukata tiketi ya safari yako. Cha kufanya fuata hatua zifuatazao;

    1. Ingia kwenye tovuti rasimi ya kampuni ya Abood Bus Service kwa kutumia link hii hapa – https://aboodbus.co.tz/
    2. Kwenye ukrasa wa tovuti ya Abood jaza taarifa zako za safari kama vile, Unakotoka, Unako kwenda na siku ya safari
    3. Baada ya kujaza taarifa bonyeza neno “Search”
    4. Baada ya kubonyeza orodha ya mabasi itafunguka na taarifa zake kama muda wa safari na bei ya nauli
    5. Kisha bonyeza neno “Book Tiket”
    6. Ukrasa wa mpangilio wa siti utafunguka na utachagua siti uipendayo kulingana na maelekezo ya mfumo kisha utabonyeza “proceed”
    7. Mfumo wa tiketi utafunguka na utajaza taarifa kutokana na maelekezo na kisha mbonyeza “Endelea” ili kumaliza hatua na kukata tiketi yako.

    2. Shabiby Line

    kwa wasafiri wa kampuni ya Shabiby  line, kampuni hii pia inamfumo wa ukataji tiketi kwa njia ya mtandao kupitia tovuti yao, cha kufanya fuata hatua zifuatazo hapa chini ili kukata tiketi ya basi ya Shabiby Line.

    Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

    1. Ingia kwenye tovuti rasimi ya kampuni ya Shabiby Line kwa kutumia link hii hapa – https://shabiby.co.tz
    2. Kwenye ukrasa wa tovuti ya Shabiby Line nenda kwenye upande wa NUNUA TIKETI na ujaze taarifa zako za safari kama vile, Unakotoka, Unako kwenda na siku ya safari
    3. Baada ya kujaza taarifa bonyeza neno “Angalia Ratiba”
    4. Baada ya kubonyeza orodha ya mabasi itafunguka na taarifa zake kama muda wa safari na bei ya nauli na daraja la basi
    5. Kisha bonyeza neno “Nnua Tiketi”
    6. Ukrasa wa mpangilio wa siti utafunguka na utachagua siti uipendayo kulingana na maelekezo ya mfumo kisha utabonyeza “Hifadhi Tiketi”
    7. Mfumo wa tiketi utafunguka na utajaza taarifa kutokana na maelekezo na kisha mbonyeza “Endelea” ili kumaliza hatua na kukata tiketi yako.

    3. Happy Nation

    Kampuni ya mabasi ya Happy Nation nayo ni miongoni mwa kampuni za usafirishaji zenye kutoa huduma ya ukataji wa tiketi kwa njia ya mtandao, ili kuweza kukata tiketi ya basi katika kampuni ya Happy Nation kwa njia ya mtandao tafadhari fuata hatua zifuatazo;

    Jinsi Ya Kukata Tiketi Ya Basi Mtandaoni

    1. Ingia kwenye tovuti rasimi ya kampuni ya Shabiby Line kwa kutumia link hii hapa – https://www.happynation.co.tz/
    2. Kwenye ukrasa wa tovuti ya Happy Nation jaza taarifa zako za safari kama vile, Unakotoka, Unako kwenda na siku ya safari
    3. Baada ya kujaza taarifa bonyeza neno “Tafuta Basi”
    4. Baada ya kubonyeza orodha ya mabasi itafunguka na taarifa zake kama muda wa safari na bei ya nauli na daraja la basi
    5. Kisha bonyeza neno “Nnua Tiketi”
    6. Ukrasa wa mpangilio wa siti utafunguka na utachagua siti uipendayo kulingana na maelekezo ya mfumo kisha utabonyeza “Hifadhi Tiketi”
    7. Mfumo wa tiketi utafunguka na utajaza taarifa kutokana na maelekezo na kisha mbonyeza “Endelea” ili kumaliza hatua na kukata tiketi yako.
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi Mpya 77 Za Kazi Taasisi Mbali Mbali za Umma Novemba 2024
    Next Article Tanzania Vs Ethiopia Kufudhu AFCON Leo 16-12-2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.