TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Jezi Mpya Za yanga SC Kimataifa CAF 2024/2025

Filed in Michezo by on November 23, 2024 0 Comments

Jezi Mpya Za yanga SC Kimataifa CAF 2024/2025, Klabu ya Yanga ali maarufu kama wana jangwani wamezindua jezi zao mpya amabzo ndio zitakazotumika katika michuano ya kimataifa kwenye ligi ya klabu bingwa Afrika katika msimu huu mpya wa 2024/2025

Ikumbukwe kua klabu ya Yanga ndio klabu pekee iliyobakia katika michuano ya klabu bingwa Afrika kwenye msimu huu wa 2024/2025 katika hatua ya makundi baada ya klabu ya Azam FC kutolewa.

JIUNGE NA GROUP LETU HAPA, JIUNGE NA CHANNEL YETU HAPA, JIUNGE NA TELEGRAM HAPA.

Yanga ametambulisha jezi zake hizo huku akitarajia kucheza mchezo wake wa kwanza katika hatua ya makundi akiwa nyumbani tarehe 29 N0vemba 2024 akimkalibisha Al Hilal SC

Jezi Mpya Za yanga SC Kimataifa CAF 2024/2025

Jezi Mpya Za yanga SC Kimataifa CAF 2024/2025

Jezi Mpya Za yanga SC Kimataifa CAF 2024/2025

Baada ya kutangaza viingilio vya mchezo wa Yanga dhidi ya Al Hilal Sudan Klabu ya Yanga pia imezindua jezi zake mpya ikakazozitumia kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika. Ambapo jezi hizo zime gawanywa katika makundi matatu

  1. Home Kit
  2. Away Kit
  3. Third Kit

Hapa chini tumekuwekea picha zenye kuonyesha muonekano wa jezi mpya za Yanga CAF 2024/2025

Jezi Mpya Za yanga SC Kimataifa CAF 2024/2025

Jezi Mpya Za yanga SC Kimataifa CAF 2024/2025

Jezi Mpya Za yanga SC Kimataifa CAF 2024/2025

Kundi la Ynaga Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Yanga amepangwa kundi A kwenye hatua ya makundi klabu bingwa Afrika 2024, Kundi A linaundwa na timu 4 ambazo ni;

  1. Young Africans
  2. Al Hilal SC
  3. TP Mazembe
  4. MC Alger

Ratiba ya Kundi A La Ynaga Klabu Bingwa Afrika 2024

Hapa chini ni ratiba ya michuano ya klabu bingwa Afrika kwa kundi A ambalo Yanga ipo

Tarehe Mechi
MD 1 (29 Nov – 1 Dec) TP Mazembe vs MC Alger
Young Africans vs Al Hilal SC
MD 2 (6 – 8 Dec) Al Hilal SC vs TP Mazembe
MC Alger vs Young Africans
MD 3 (13 – 15 Dec) MC Alger vs Al Hilal SC
TP Mazembe vs Young Africans
MD 4 (3 – 5 Jan) Al Hilal SC vs MC Alger
Young Africans vs TP Mazembe
MD 5 (10 – 12 Jan) MC Alger vs TP Mazembe
Al Hilal SC vs Young Africans
MD 6 (17 – 19 Jan) TP Mazembe vs Al Hilal SC
Young Africans vs MC Alger

Mapendekezo Ya Mhariri;

1. Jezi Mpya Za Simba SC Kimataifa Msimu Wa 2024/2025

2. Ratiba ya Simba SC Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

3. Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

4. Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024/2025 

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *