Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Tazama Cv ya Kelvin Nashon (Midfielder)
Michezo

Tazama Cv ya Kelvin Nashon (Midfielder)

Kisiwa24By Kisiwa24December 19, 2024No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Cv ya Kelvin Nashon (Midfielder),Klabu ya Yanga iko kwenye mchakati wa kumsajili Kelvin Nashon kwenye usajili huu wa dirisha dogo.

Lengo la Yanga kufanya sajili ya Kelvin Nashon ni miongoni mwa mikakati yake ya kukijenga na kukiimalisha kikosi chake hasa kutokana na ubora wa vikosi vya timu pinzani ndani ya ligi kuu ya NBC na kwenye mashindano ya klabu bingwa Afrika.

Ikumbukwe ya kua hadi sasa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika klabu ya Yanga imesha cheza michezo 3 na kwenye michezo hiyo 3 imeshapoteza michezo 2 na kutoa sare mchezo 1 hivyo kujikusanyia pointi 1 na iko katika nafasi ya 4 kwenye msimamo wa kundi A.

Kwenye ligi kuu ya NBC klabu ya Yanga iko kwenye nafasi ya 3 hadi sasa japo imecheza michezo 11 ikiwa na pointi 27 huku Azam ikiwa kileleni na pointi 33 ikiwa imecheza michezo 15

Usajili wa Kelvin Nashon Yanga unatija kubwa sana kwa kua Yanga bado inamapambano makubwa sana kwenye ligi ya ndani na michuano ya kimataifa Afrika.

Wasifu wa Kelvin Nashon

Jina kamili: Kelvin Nashon

Kuzaliwa: 2/08/2000

Mahari: Mwanza

Umri: miaka 24

Urefu: 1.68m

Nafasi Uwanjani: Kiungo (Midfielder)

Safari ya Kelvin Nashon kwenye Ulimwengu wa soka

Kelvin Nashon kwa sasa anachezea klabu ya Geita Gold na ni mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania

Klabu ya Yanga inataka kufanya sajili ya Kelvin Nashon kama moango wa kubolesha eneo la kiungo la klabu hiyo.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleTimu Zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Next Article Nafasi za Kazi Puma Energy December 2024
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025783 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025521 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025445 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.