WALIO CHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2025

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

CV ya Feisal Salum Abdallah (Fei Toto) Mchezaji Mpya wa Simba Sc

Filed in Michezo by on May 30, 2025 0 Comments

CV ya Feisal Salum Abdallah (Fei Toto)- Wasifu wa Feisal Salum Abdallah, Hapa tutaangazia kwa undani kuhusu wasifi na Cv ya mchezaji mpya wa Simba kwa upande wa CV, Umri na Historia yake.

Kiufupi Makala hii inatoa taarifa nyingi kuhusu mchezaji wa huyu mpya wa Simba Sc, Fei Toto, ikianza na picha zake, wasifu wake (CV), pamoja na ombi kwamba Umri wa Feisal Salum uendelee kubaki nasi.

Feisal Salum, kiungo wa kati, ni Mtanzania aliyezaliwa na kukulia visiwani Zanzibar. Alianza taaluma yake ya soka huko Zanzibar, ambako ndiko alianza kucheza, kabla ya kuhamia Tanzania mwaka 2018 kujiunga na klabu ya Yanga kutoka klabu ya JKU.

Jina: Feisal Salum Abdallah (Fei Toto)
Tarehe ya Kuzaliwa: 11 Januari 1998
Utaifa: Mtanzania
Lugha: Kiingereza/Kiswahili
Nafasi: Kiungo wa kati/Mshambuliaji (Namba 10)
Miguu Anayotumia: Yote, lakini zaidi mguu wa kulia

Taarifa Binafsi

Jina kamili: Feisal Salum Abdalla

Tarehe ya kuzaliwa: 11 Januari 1998 (miaka 27)

Mahali alikozaliwa: Zanzibar

Urefu: 1.78 m (futi 5 inchi 10)

Nafasi anayocheza: Kiungo

Miguu Anayotumia: Yote, lakini zaidi mguu wa kulia

Safari Ya Soka

Timu ya sasa: Azam F.C.
Namba: 6

Kazi ya Soka ya Kikubwa (Senior career)

Miaka | Timu | Mechi | Magoli
2016–2018 | JKU | — | —
2018–2022 | Young Africans | — | (32)
2023– | Azam F.C | — | (24)

Safari ya Soka Kimataifa

Miaka | Timu | Mechi | Magoli

2017– | Zanzibar | 13 | (1)
2018– | Tanzania | 45 | (4)

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *