Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»CV ya Elie Mpanzu Mchezaji Mpya wa Simba SC
    Michezo

    CV ya Elie Mpanzu Mchezaji Mpya wa Simba SC

    Kisiwa24By Kisiwa24April 29, 2025No Comments4 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    CV ya Elie Mpanzu Mchezaji Mpya wa Simba SC

    CV ya Elie Mpanzu, Habari mwana Kisiwa24, karibu kwenye makala hii fupi itakayoenda kuangazia CV ya Elie Mpanzu mchezaji aliyesajiliwa na klabu ya wekundu wa msimbazi hivi karibuni kama winga wa kulia ili kuimalisha kikosi cha Simba SC kwenye msimu huu wa ligi kuu ya NBC Premier Leuge 2024/2025.

    Simba SC klabu imefanya usajili wa winga wa kulia mwenyeji wa nchi ya Congo Elie Mpanzu ikiwa ni miongoni mwa mikakati yake ya kuendelea kukitengeneza kikosi chake ili kujiakikishia ushindi kutoka kwa mabingwa watetezi wa kombe la ligi kuu ya NBC Yanga Africans.

    Simba SC ni miongoni mwa klabu kubwa katika ulimwengu wa soka nchini Tanzania, Afrika Mashariki na Kati na Afrika kwa ujumla wake, Hivi karibuni imemtambulisha mchezji mwenye uraia wa Dr Congo kama mchezaji wake katika nafasi ya winga wa kulia akitokea katika klabu ya AS Vita ya mjini Kinshasa.

    Usajili wa Mkongo Elie Mpanzu katika klabu ya Simba umekuja ikiwa ni miongoni mwa mipango ya klabu ya mwekundu wa msimbazi katika kukijenga na kukiimalisha kikosi chake kwenye msimu huu mpya wa ligi kuu ya NBC baada ya kupoteza ubigwa wa ligi hiyo msimu nuliopita dhidi ya wapinzani wao klabu ya Yanga.

    CV ya Elie Mpanzu

    CV ya Elie Mpanzu
    CV ya Elie Mpanzu

    Hapa tutaenda kuangazia kwa ufupi zidi kuhusu CV ya Elie Mpanzu kama mchezaji mpya wa klabu ya Simba.

    CV ya Elie Mpanzu

    Jina Elie Mpanzu Kibisawala
    Taifa Kongo DR
    Tarehe ya kuzaliwa 1, Januari 2002
    Umri Miaka 22
    Nchi Aliyozaliwa Kongo DR
    Mahali Alipozaliwa Kinshasa
    Nafasi Uwanjani Winga wa Kulia
    Urefu 165 Cm
    Uzito 65 Kg
    Mguu Uwanjani Kulia
    Klabu Aliyotoka AS Vita
    Klabu ya Sasa Simba CS

    Elie Mpanzu na Katika Ulimwengu wa Soka

    Elie Mpanzu ni raia wa nchi ya Kongo DR, Safari yake kama winga wa kulia katika soka ilianza kutoa matumaini na kumfanya mchezaji bora katika nchi ya Kongo pale alipojiunga na klabu ya AS Vita na kuwa mchezaji hatari anapokua uwanjani.

    Umaarufu wake akiwa na klabu ya AS Vita aliyo jiunga nayo mnamo mwaka 2022 ndio iliuliofungua milango ya mafanikio katika keria yake ya soka hadi kufikia kutazamwa na baadh ya klabu kubwa balani Afrika ikiwemo klabu ya Simba Sc. Na kutokana na uwezo wake mwaka 2024 Elia Mpanzu alifanikiwa kujiunga na klabu ya wekundu wa msimbazi Simba ya Tanzania

    Simba Na Usajili wa Elie Mpanzu

    Klabu ya Simba inayoshiriki ligi kuu ya NBC msimu huu mpya wa 2024 na michuano ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la CAF, imefanya usajiri wa winga huyo kutokea AS Vita ya Kongo ikiwa ni moja ya mikakati yake ya kuboresha kikosi chake ili kuhakikisha ushidi wa ligi mbali mbali.Simba inategemea kupata huduma ya winga huyo ambaye ilimsajili kwa dola 200,000.

    Elie Mpasu anajiunga na klabu ya Simba ya Tanzania kama winga akienda kuungana na wachezaji wengine waliosajiliwa na klabu hiyo ambao wakicheza nafasi sawa na ya Elia Mpanzu kama vile Joshua Mutale, Edwin Balua, Ladack Chasambi, na Salehe Karabaka.

    Uwezo wa Elie Mpanzu Akiwa Uwanjani

    Elie Mpnzu ni mchezaji mwenye uwezo wa juu sana kwa nafasi anayoichezea hasa winga ya kulia, ukiachilia mbali urefu wake wa kimo cha 165 Cm bado amekua msumbufu sana katika eneo la ushambuliaji na mchezaji mwenye kuleta matokeo chanya awapo uwanjani na hii ndio sababu kuu ya klabu kubwa kama Simba kuweza kumsajili

    Simba SC na washabiki zake wategemee makubwa kutoka kwa mchezaji huyu kwani madhara yake akiwa uwanjani ni mkubwa sana.

    Hitimisho

    Simba SC haikufanya makosa kwenye usajili wa nyota huyu anayehudumu katika nafasi ya winga akiwa uwanjani, kama sehemu ya klabu ya Simba katika kutengeneza kikosi chake msimu huu wa ligi kuu ya NBC 2024 basi Ele Mpanzu ni miongoni mwa sajili sahihi kabisa.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbali Mbali Duniani Jumapili

    2. Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL

    3. Ratiba Ya Ligi Kuu England

    4. Msimamo Ligi Kuu NBC

    5. Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMakombe yenye Thamani Kubwa Barani Ulaya
    Next Article Ada na Kozi zinazotoLewa chuo kikuu Huria 2025/2026
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.