Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro

December 12, 2025

NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

December 12, 2025

Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa

December 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»CV ya Elie Mpanzu Mchezaji Mpya wa Simba SC
Michezo

CV ya Elie Mpanzu Mchezaji Mpya wa Simba SC

Kisiwa24By Kisiwa24April 29, 2025No Comments4 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

CV ya Elie Mpanzu Mchezaji Mpya wa Simba SC

CV ya Elie Mpanzu, Habari mwana Kisiwa24, karibu kwenye makala hii fupi itakayoenda kuangazia CV ya Elie Mpanzu mchezaji aliyesajiliwa na klabu ya wekundu wa msimbazi hivi karibuni kama winga wa kulia ili kuimalisha kikosi cha Simba SC kwenye msimu huu wa ligi kuu ya NBC Premier Leuge 2024/2025.

Simba SC klabu imefanya usajili wa winga wa kulia mwenyeji wa nchi ya Congo Elie Mpanzu ikiwa ni miongoni mwa mikakati yake ya kuendelea kukitengeneza kikosi chake ili kujiakikishia ushindi kutoka kwa mabingwa watetezi wa kombe la ligi kuu ya NBC Yanga Africans.

Simba SC ni miongoni mwa klabu kubwa katika ulimwengu wa soka nchini Tanzania, Afrika Mashariki na Kati na Afrika kwa ujumla wake, Hivi karibuni imemtambulisha mchezji mwenye uraia wa Dr Congo kama mchezaji wake katika nafasi ya winga wa kulia akitokea katika klabu ya AS Vita ya mjini Kinshasa.

Usajili wa Mkongo Elie Mpanzu katika klabu ya Simba umekuja ikiwa ni miongoni mwa mipango ya klabu ya mwekundu wa msimbazi katika kukijenga na kukiimalisha kikosi chake kwenye msimu huu mpya wa ligi kuu ya NBC baada ya kupoteza ubigwa wa ligi hiyo msimu nuliopita dhidi ya wapinzani wao klabu ya Yanga.

CV ya Elie Mpanzu

CV ya Elie Mpanzu
CV ya Elie Mpanzu

Hapa tutaenda kuangazia kwa ufupi zidi kuhusu CV ya Elie Mpanzu kama mchezaji mpya wa klabu ya Simba.

CV ya Elie Mpanzu

Jina Elie Mpanzu Kibisawala
Taifa Kongo DR
Tarehe ya kuzaliwa 1, Januari 2002
Umri Miaka 22
Nchi Aliyozaliwa Kongo DR
Mahali Alipozaliwa Kinshasa
Nafasi Uwanjani Winga wa Kulia
Urefu 165 Cm
Uzito 65 Kg
Mguu Uwanjani Kulia
Klabu Aliyotoka AS Vita
Klabu ya Sasa Simba CS

Elie Mpanzu na Katika Ulimwengu wa Soka

Elie Mpanzu ni raia wa nchi ya Kongo DR, Safari yake kama winga wa kulia katika soka ilianza kutoa matumaini na kumfanya mchezaji bora katika nchi ya Kongo pale alipojiunga na klabu ya AS Vita na kuwa mchezaji hatari anapokua uwanjani.

Umaarufu wake akiwa na klabu ya AS Vita aliyo jiunga nayo mnamo mwaka 2022 ndio iliuliofungua milango ya mafanikio katika keria yake ya soka hadi kufikia kutazamwa na baadh ya klabu kubwa balani Afrika ikiwemo klabu ya Simba Sc. Na kutokana na uwezo wake mwaka 2024 Elia Mpanzu alifanikiwa kujiunga na klabu ya wekundu wa msimbazi Simba ya Tanzania

Simba Na Usajili wa Elie Mpanzu

Klabu ya Simba inayoshiriki ligi kuu ya NBC msimu huu mpya wa 2024 na michuano ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la CAF, imefanya usajiri wa winga huyo kutokea AS Vita ya Kongo ikiwa ni moja ya mikakati yake ya kuboresha kikosi chake ili kuhakikisha ushidi wa ligi mbali mbali.Simba inategemea kupata huduma ya winga huyo ambaye ilimsajili kwa dola 200,000.

Elie Mpasu anajiunga na klabu ya Simba ya Tanzania kama winga akienda kuungana na wachezaji wengine waliosajiliwa na klabu hiyo ambao wakicheza nafasi sawa na ya Elia Mpanzu kama vile Joshua Mutale, Edwin Balua, Ladack Chasambi, na Salehe Karabaka.

Uwezo wa Elie Mpanzu Akiwa Uwanjani

Elie Mpnzu ni mchezaji mwenye uwezo wa juu sana kwa nafasi anayoichezea hasa winga ya kulia, ukiachilia mbali urefu wake wa kimo cha 165 Cm bado amekua msumbufu sana katika eneo la ushambuliaji na mchezaji mwenye kuleta matokeo chanya awapo uwanjani na hii ndio sababu kuu ya klabu kubwa kama Simba kuweza kumsajili

Simba SC na washabiki zake wategemee makubwa kutoka kwa mchezaji huyu kwani madhara yake akiwa uwanjani ni mkubwa sana.

Hitimisho

Simba SC haikufanya makosa kwenye usajili wa nyota huyu anayehudumu katika nafasi ya winga akiwa uwanjani, kama sehemu ya klabu ya Simba katika kutengeneza kikosi chake msimu huu wa ligi kuu ya NBC 2024 basi Ele Mpanzu ni miongoni mwa sajili sahihi kabisa.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbali Mbali Duniani Jumapili

2. Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL

3. Ratiba Ya Ligi Kuu England

4. Msimamo Ligi Kuu NBC

5. Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleMakombe yenye Thamani Kubwa Barani Ulaya
Next Article Ada na Kozi zinazotoLewa chuo kikuu Huria 2025/2026
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania
  • Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa
  • Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs Majina ya Nyongeza
  • Nafasi za Kazi Taasisi Mbalimbali za Umma

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025777 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025438 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025414 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.