Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa

December 9, 2025

Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs Majina ya Nyongeza

December 9, 2025

Nafasi za Kazi Taasisi Mbalimbali za Umma

December 9, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Makala»Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania
Makala

Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania

Kisiwa24By Kisiwa24December 30, 2024No Comments4 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania, Code za Simu Tanzania, namba za simu Tanzania, Habari ya wakati mwingine tena mwanakisiwa24, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kupitia code za utambulisho wa mitandao ya simu nchini Tanzania.

Kutokana na maendeleo ya kiulimwengu swala la mawasiliano limekua likizidi kuboreshwa kila kukicha, ikumbukwe kua hapo awali mawasiliano yalikua yakifanywa kwa njia  ya barua na kumfikia mlengwa kwa muda mlefu, lakini mapinduzi ya teknolojia yameweza kurahisisha sekta ya mawasiliano hadi kufikia kuwepo kwa mawasiliano kwa njia ya simu. Simu ndio njia pekee ya kupasha habari kwa haraka zaidi.

Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania

Kila nchi inautambulisho wake maalumu wa code za simu. Tanzania kama ilivyokua nchi nyingine Duniani pia inautambulisho wa code za simu ambazo hutambulisha umiliki wa simu ni kutoka Tanzania. Lakini pia kila kampuni ya mawasiliano iliyoko Tanzania ina utambulisho wake maalumu unaoitofautisha kampuni hiyo ya simu na mitandao mingine ya simu.

Aina ya itandao ya Simu Tanzania

Tanzania ni nchi endelevu katika swala la teknolojia kama yalivyokua mataifa mengine. Kwenye ulimwengu wa mawasiliano Tanzania pia imeshuhudia kukua kwake kwa kua na idadi kubwa ya makampuni yaa simu. Hapa chini ni kampuni za mawasiliano ya simu zinazopatikana Tanzania.

1. Tigo/Yasi

2. Vodacom

3. Airtel

4. Halotel

5. TTCL

6. Zantel

Muundo wa Namba za Simu Tanzania

Kama ilivyo kwa mataifa mengine Tanzania pia hufuata utaratibu maalumu kwenye muundo wa namba za mawasiliano ya simu za mkononi. Muundo harisi wa namba za simu za Tanzania hugawanyika katika makundi matatu (3)

1. Code ya Taifa Huundwa na tarakimu 3 ikianza na alama ya + (+255)

2. Nambali maalumu za kamuni husika ya simu, Huundwa na kwa tarakimu 3, kutokana na code za mtandao husika, Mfano mfano Vodacom 076

3. Nmabali za Mtumiaji hizi, huundwa na Tarakimu 7, Tarakimu hizi huwa ni tarakimu pekee kwa kila mtumiaji hazifanani kutoka mtumiaji mmoja kwenda mwingine ndani ya mtandato mmoja wa simu

Hivyo basi kulingana na mgawanyo huo wa namba za simu za mitandao Tanzania muundo wa namba hizo huundwa kwa jimla ya Taraikimu 12 amabozo ni

  • Code ya Taifa + Code ya Mtandao husika + Namba pekee ya mtumiaji (Mfano – +255765 563 762)

Njinsi ya Upigaji simu Tanzania

Kwa mtumiaji wa simu aliyeko Tanzania ili apige simu kwa mtu mwingine ndani ya Tanzania anaweza kutumia tu code ya mtandao husika ikianza na tarakimu 0 kufuatiwa na namba pekee za mtumiaji (Mfano 0756 243 252) lakini pia anaweza anza na muundo wa code ya Taifa ( Mfano – +255765 563 762)

Kwa simu za kutoka nje ya nchi mpigaji simu itamlazimu kufuata muundo wa kuanza na code ya Nchi kisha code ya mtandao husika wa simu na kumalizia na namba pekee ya mtumiaji wa simu (Mfano – +255765 563 762 )

Code Za Mitandao ya Simu Tanzani

1. Code Za Mtandano wa Vodacom Tanzania (MNC)

Mtandao wa simu wa Vodacom Unacode kuu nne ambazo ni

  • 0746
  • 0745
  • 0754
  • 0755

2. Code Za Mtandano wa Tigo Tanzania (MNC)

Mtandao wa simu wa Tigo/Yas unajumla ya code 6, amabzo ni

  • 0712
  • 0713
  • 0714
  • 0715
  • 0716
  • 0652

3. Code Za Mtandano wa Airtel Tanzania (MNC)

Kwa upande wa mtandao wa simu wa Airtel unajumla ya code 6, amabazo ni

  • 0784
  • 0785
  • 0786
  • 0787
  • 0788
  • 0688

4. Code Za Mtandano wa Halotel Tanzania (MNC)

Halotel ni mtandao mpya wa simu ukilinganisha mitandao ya simu kama vile Tigo, airtel na Vodacom, mtandao huu wa Halotel unajumla ya code 3, ambazo ni

  • 0768
  • 0769
  • 0620

5. Code Za Mtandano wa Zantel (MNC)

Kwa mtandao wa Zazntel ambayo kwa sasa imeingia ushirika na mtandao wa Tigo/Yas ina code kuu moja ambayo ni

  • 077

Mapendekezo ya Mhariri;

Orodha ya Vyuo Vya Afya vya Serikali Morogoro

Mwongozo wa Bei Ya Magodoro ya Dodoma

Mwongozo wa Bei Ya Magodoro ya Comfy

Mwongozo wa Bei Za Magodoro ya GSM

Jinsi ya Kuandika Barua ya Kirafiki

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleOrodha ya Vyuo Vya Afya vya Serikali Morogoro
Next Article Jinsi ya kuangalia Namba ya Simu Mitandao Yote
Kisiwa24

Related Posts

Makala

Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya kupika Maharage kwenye Rice cooker

October 8, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • Nafasi za Kazi Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Mkwawa
  • Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs Majina ya Nyongeza
  • Nafasi za Kazi Taasisi Mbalimbali za Umma
  • MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025
  • Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025768 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025430 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025381 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.