TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Elimu

Ada na Kozi Zitolewazo Na Chuo Cha SUA 2025/2026

Filed in Elimu by on June 22, 2025 0 Comments
Ada na Kozi Zitolewazo Na Chuo Cha SUA 2025/2026

Orodha ya Kozi Zinazotolewa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) ni Chuo Kikuu cha umma kilichopo Morogoro Tanzania. Chuo kikuu kipo kwenye miteremko ya milima ya Uluguru. SUA inajulikana zaidi kwa kutoa kozi na programu kwa upana katika nyanja ya Kilimo, Sayansi ya Mifugo, Misitu, Sayansi ya […]

Continue Reading »

Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Kilimo SUA 2025/2026

Filed in Elimu by on June 22, 2025 0 Comments
Sifa Za Kujiunga Na Chuo Cha Kilimo SUA 2025/2026

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) ni mojawapo ya taasisi bora nchini Tanzania zinazotoa elimu ya kilimo, mazingira, mifugo, na teknolojia ya chakula. Ili kujiunga na SUA, ni muhimu kuelewa vigezo na sifa zinazohitajika ili kuongeza nafasi yako ya kukubaliwa. Sifa za Kitaaluma (Academic Qualifications) Ufaulu wa kidato cha nne: Pasi angalau “D” nne […]

Continue Reading »

Ada na Kozi Zitolewza na Chuo cha IHET

Filed in Elimu by on June 22, 2025 0 Comments
Ada na Kozi Zitolewza na Chuo cha IHET

Chuo cha Institute of Heavy Equipment and Technology (IHET) kilicho Kijitonyama, Dar es Salaam, ni taasisi inayokumbatia mafunzo ya vitendo yenye lengo la kutoa ujuzi wa mitambo mikubwa, teknolojia na ICT. Makala haya yanalenga kutoa muhtasari wa ada na kozi zitolewza na Chuo cha IHET. Utambulisho wa Chuo cha IHET IHET ni chuo kinachoendeshwa kwa […]

Continue Reading »

Sifa Za Kujiunga Na Chuo cha Mitambo na Teknolojia IHET

Filed in Elimu by on June 22, 2025 0 Comments
Sifa Za Kujiunga Na Chuo cha Mitambo na Teknolojia IHET

Chuo cha Mitambo na Teknolojia – Institute of Heavy Equipment and Technology (IHET) kina sifa mbalimbali zinazowavutia wanafunzi wanaotaka kujifunza uendeshaji na matengenezo ya mitambo mizito, magari, umeme na ICT. Inapatikana jijini Dar es Salaam, na ina matawi ya Mwanza na Dodoma Ikiungwa mkono na NACTVET kama kituo cha mafunzo ya ufundi stadi. IHET inatoa fursa nyingi kwa […]

Continue Reading »

Ada na Kozi Zitolewazo na Chuo cha Afya KAM College

Filed in Elimu by on June 22, 2025 0 Comments
Ada na Kozi Zitolewazo na Chuo cha Afya KAM College

KAM College of Health Sciences ni miongoni mwa vyuo vinavyoibukia kwa kasi nchini Tanzania katika kutoa elimu bora ya afya. Kwa miaka kadhaa sasa, chuo hiki kimekuwa kikitoa mafunzo ya kitaalamu kwa wanafunzi wanaotaka kujikita kwenye sekta ya afya. Katika makala hii, tutakuletea orodha ya kozi zinazotolewa pamoja na gharama (ada) za masomo kwa kila […]

Continue Reading »

Kozi za Muda Mrefu Zinazotolewa na VETA

Filed in Elimu by on June 22, 2025 0 Comments
Kozi za Muda Mrefu Zinazotolewa na VETA

VETA (Vocational Education and Training Authority) ni nguzo kuu ya kuendeleza ujuzi na ufundi nchini Tanzania. Kozi za muda mrefu zinazotolewa na VETA zinalenga kuwapa wanafunzi ujuzi wa kina, wa vitendo na unaotambulika kitaifa na kimataifa, unaowawezesha kuingia kwa urahisi katika ajira au kujiajiri. Tofauti na kozi fupi, programu hizi huchukua muda mrefu zaidi (kwa kawaida […]

Continue Reading »

Sifa Kujiunga Chuo Cha Afya KAM College

Filed in Elimu by on June 22, 2025 0 Comments
Sifa Kujiunga Chuo Cha Afya KAM College

Ikiwa unatafuta taarifa sahihi kuhusu sifa za kujiunga na KAM College of Health Sciences, basi uko mahali sahihi. KAM College ni moja ya vyuo vinavyotoa elimu ya afya kwa viwango vya juu nchini Tanzania. Chuo hiki kimesajiliwa na kinatambulika na Nacte pamoja na wizara ya afya, hivyo hutoa kozi zenye viwango vya kimataifa kwa watanzania […]

Continue Reading »

Kozi za Afya Zenye Soko Ngazi ya Degree

Filed in Elimu by on June 22, 2025 0 Comments
Kozi za Afya Zenye Soko Ngazi ya Degree

Katika ulimwengu wa sasa, sekta ya afya inakuwa kwa kasi kutokana na ongezeko la magonjwa, uhitaji wa wataalamu waliobobea, pamoja na maendeleo ya teknolojia ya matibabu. Kwa wanafunzi wanaomaliza kidato cha sita au stashahada na kutamani kusomea taaluma ya afya ngazi ya shahada, ni muhimu kuchagua kozi zenye soko na ambazo zina uhitaji mkubwa katika […]

Continue Reading »

Kozi za Afya Zenye Soko Ngazi ya Diploma Tanzania

Filed in Elimu by on June 22, 2025 0 Comments
Kozi za Afya Zenye Soko Ngazi ya Diploma Tanzania

Tanzania inakabiliwa na uhaba mkubwa wa wataalamu wa afya, hasa katika maeneo ya vijijini na hospitali za wilaya. Hali hii inafungua fursa kubwa kwa wanaochagua kozi za afya ngazi ya diploma. Kozi hizi, zinazotolewa na vyuo vya ualimu vya serikali na vyuo vya kibinafsi vinavyoidhinishwa na NACTE (Tume ya Taifa ya Elimu ya Ufundi) au […]

Continue Reading »

Sifa za Kujiunga na Chuo cha Maji 2025/2026

Filed in Elimu by on May 7, 2025 0 Comments
Sifa za Kujiunga na Chuo cha Maji 2025/2026

Katika Tanzania, Sifa za Kujiunga na Chuo cha Maji ni muhimu sana kwa wanafunzi wanaotaka kupata elimu na mafunzo bora katika sekta ya maji. Vyuo vya maji vinatoa kozi mbalimbali zinazohusiana na usimamizi wa rasilimali maji, usafi wa mazingira, na teknolojia za maji, ambazo ni muhimu kwa maendeleo endelevu ya taifa. Hapa tutachambua kwa kina […]

Continue Reading »

error: Content is protected !!