Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Makala»Mwongozo wa Bei ya Madini ya Dhahabu Tanzania 2025
Makala

Mwongozo wa Bei ya Madini ya Dhahabu Tanzania 2025

Kisiwa24By Kisiwa24July 3, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mwongozo wa Bei ya Madini ya Dhahabu Tanzania 2025, Gharama ya dhabau Tanzania,Bei ya dhabu,Dhabu ni moja ya madini yenye thamani zaidi Tanzania na duniani kwa ujumla. Tanzania ni moja ya nchi zinazojivunia kwa kua na machimbo mengi ya uchimbaji wa madni ya aina ya dhahabu.

Leo katika makala hii tunaenda kuangazia soko la dhahabu nchini Tanzania, Hapa tutaangalia zaidi juu ya bei ya madini aina ya dhahabu yanayopatikana Tanzania

Umuhimu wa Dhahabu Tanzania

Tanzania imejiimarisha kama mojawapo ya nchi muhimu katika uzalishaji wa dhahabu Afrika. Sekta ya madini, hususani dhahabu, inachangia sehemu kubwa katika pato la taifa na ajira kwa Watanzania.

Namna ya Kuangalia Bei ya Dhabu Tanzania

Kama unataka kufuatili soko na mwenendo wa bei ya madini ya Dhabu Tanzania basi unaweza kufuata hatua zifuatazo hapa chini.

  1. Kwa kutembelea baadhi ya tovuti Mtandaoni kama vile, GoldPriceZ na Live Price of Gold
  2. Kwa kutembelea maduka yanayouza Dhahabu
  3. Application za Simu –  kwenye google play Store kuna App mbalimbali ambazo zinaweza kukupa taarifa za bei ya dhahabu

Hizo hapo juu ni njia kuu tatu zinazoweza kukupa taarifa juu ya bei ya madini ya Dhahabu  Tanzania

Bei ya Madini ya Dhahabu Tanzania

Hapa chini ni ghafu linaloonyesha bei ya dhahabu Tanzania

Gram Moja ya Dhahabu TZS Kiwango Cha Juu Kiwango Cha Chini
GRAM GOLD 24K 203,666.73 204,002.11 203,153.16
GRAM 22K 186,966.06 187,273.94 186,494.60
GRAM 21K 178,208.39 178,501.85 177,759.02
GRAM 18K 152,750.05 153,001.58 152,364.87
GRAM 14K 119,145.04 119,341.23 118,844.60
GRAM 10K 84,929.03 85,068.88 84,714.87
GRAM 6K 50,916.68 51,000.53 50,788.29

Mapendekezo ya Mhariri

  • Bei ya Madini ya Almasi Tanzania
Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleMwongozo wa Bei ya Madini ya Rubi Tanzania 2025
Next Article Mwongozo wa Bei Za Magodoro ya GSM 2025
Kisiwa24

Related Posts

Makala

Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya kupika Maharage kwenye Rice cooker

October 8, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025777 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025439 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025416 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.