Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Makala»Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania 2025
Makala

Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania 2025

Kisiwa24By Kisiwa24May 24, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania, bei ya simu ya iPhone 16 Pro leo Tanzania, Habari mwana Kisiwa24 blog, karibu tena katika makala hii fupi ambaoyo itaenda kukuonyesha makadilio ya bei ya iPhone 16 Pro Tanzania.

Kama wewe ni mpenzi wa kutumia simu za kampuni ya Apple basi utakua umesha sikia kuhusu simu ya iPhone 16 Pro, Hivyo basi katika makala hii tutaenda kukuonyesha bei harisi ya simu hiyo kwa hapa nchini Tanzania

Apple ni kampuni maarufu sana katika utengenezaji wa vitu vya kielektroniki na kwa mwaka wa 2025 wameweza kutoa toleo jipya la simu zake aina ya iPhone ambayo imejulikana kama iPhone 16 Pro. Simu hii ni simu ya kisasa zaidi kwa kila eneo kwani imefanyiwa maboresho mengi sana.

Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania

Kuhusu iPhone Pro

Hii ni simu ya toleo la kisasa kwani imekuja na maboresho mendi sana kama vile

  • Uwezo wa Memory , 128GB, 256GB,512GB, 1TB
  • Haiingizi vumbi maji wa uchafu wa aiana yoyote ile
  • Kamera yake ni 12Mp

iPhone ni moja ya bidhaa pendwa zaidi Tanzania na duniani kwa ujumla pia ni bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na upekee katika soko. Hapa chini tutaenda kukuwekea bei halali ya simu aina ya iPhone 16 Pro kwa Tanzania

iPhone ni bidhaa maarufu ya simu janja inayotengenezwa na Apple, kampuni inayoongoza duniani katika teknolojia na vifaa vya kielektroniki. iPhone inatambulika kwa ubora wake wa hali ya juu, programu bora, usalama wa kifaa, na uwezo wa kupiga picha na video zenye ubora wa juu. Simu hizi zina mfumo wa uendeshaji wa iOS ambao unatoa uzoefu wa kipekee kwa watumiaji.

Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania

  • iPhone 16 Pro (256GB): TSH Milioni 2.6 hadi Milioni 2.8
  • iPhone 16 Pro (512GB): TSH Milioni 3 hadi Milioni 3.2
  • iPhone 16 Pro (1TB): TSH Milioni 3.5 hadi Milioni 3.7

Soma Pia;

1. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbali Mbali Duniani

2. Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024/2025 EPL

3. Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025

4. Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu

5. Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleEWURA Bei Mpya za Mafuta Tanzania 2025
Next Article Bei ya iPhone 16 Pro Max Tanzania 2025
Kisiwa24

Related Posts

Makala

Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya kupika Maharage kwenye Rice cooker

October 8, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025442 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025420 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.