Author Archive for: Kisiwa24 Blog

MAMBO ya Kuzingatia Unapoitwa Kwenye Usaili Ajira Portal

Katika dunia ya sasa yenye ushindani mkubwa wa ajira, kupata mwaliko wa usaili kutoka Ajira Portal ni hatua muhimu sana kuelekea ajira unayoitamani. Hata hivyo, hatua hii ni mwanzo tu—kufanikisha usaili kunahitaji maandalizi ya kina, uelewa wa mazingira ya usaili na namna ya kujitambulisha kwa weledi. Katika makala hii, tutakuongoza kupitia mambo muhimu ya kuzingatia unapoitwa kwenye usaili kupitia Ajira

Continue reading

PDF: MAJINA ya Walioitwa Kazini UTUMISHI Leo June 2025

Sekretarieti Ya Ajira Katika Utumishi Wa Umma ni chombo muhimu kinachoshughulikia mambo ya ajira na utumishi wa watumishi wa umma nchini. Chombo hiki kina wajibu wa kuhakikisha kuwa michakato ya kuajiri, kuandaa masharti ya kazi, na kufuatilia utekelezaji wa sera za utumishi wa umma zinafanyika kwa uadilifu na uwazi. Sekretarieti hii pia inasaidia kuboresha utendaji wa waajiriwa katika sekta ya

Continue reading

NAFASI za Kazi Longido District Council

Halmashauri ya Wilaya ya Longido ni chombo muhimu cha serikali ya mitaa kinachoshughulikia masuala ya maendeleo na utoaji wa huduma kwa wakazi wa wilaya hiyo. Hii ni sehemu ya mfumo wa serikali za mitaa nchini Tanzania ambayo inalenga kuhakikisha kuwa mahitaji ya wananchi yanafikiwa kwa ufanisi. Halmashauri hiyo ina jukumu la kupanga, kuratibu, na kutekeleza miradi mbalimbali ya kijamii, kiuchumi,

Continue reading

PDF: MAJINA Walioitwa Kazini Wizara ya Afya Kupitia UTUMISHI

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 06-05-2025 na tarehe 07-05-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi

Continue reading

PDF: MAJINA ya Walioitwa Kazini Hospitali ya Taifa Muhimbili

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kati ya tarehe 10-09-2024 na tarehe 18-05-2025 kuwa matokeo ya waombaji kazi waliofaulu usaili huo ni kama yalivyoorodheshwa katika tangazo hili. Orodha ya majina haya pia inajumuisha baadhi ya wasailiwa waliokuwa kwenye kanzidata (Database) kwa kada mbalimbali ambao wamepangiwa vituo vya kazi

Continue reading

PDF: MAJINA Walioitwa Kazini Utumishi Leo Taasisi Mbalimbali

Sekretarieti ya Ajira ni chombo muhimu kinachoshughulikia masuala ya ajira na kazi nchini Tanzania. Chombo hiki kimeundwa kwa lengo la kuhakikisha kuwa wananchi wanapata fursa sawa za ajira, pamoja na kusimamia utekelezaji wa mipango mbalimbali ya kukuza ajira katika sekta tofauti. Sekretarieti ya Ajira hufanya kazi kwa kushirikiana na mashirika ya kiserikali na ya binafsi, pamoja na wadau mbalimbali, ili

Continue reading

MAGAZETI ya Leo Ijumaa 13 June 2025

Habari mwanakisiwa24 karibu tena katika kurasa hii ya magazeti. Hapa utaensa kupata wasaha wa kupitia habari kwenye magazeti ya leo Tanzania Ijumaa Juni 13, 2025 Hapa utaweza kuperuzi vichwa vya habari zilizoweza kupewa kipaumbele na uzito kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Ijumaa ya tarehe 13 June 2025 MAGAZETI ya Leo Ijumaa 13 June 2025

Continue reading

NAFASI 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI Taasisi Mbalimbali June 2025

Hapa kwa mujibu wa Shirika la Huduma za Umeme, Mitambo na Elektroniki Tanzania (TEMESA) na Shirika la Barabara za Taifa Tanzania (TANROADS), Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), Taasisi ya Mafunzo ya Serikali za Mitaa (LGTI), Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD) na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Katibu Mkuu wa Ajira katika Utumishi wa Umma

Continue reading

NAFASI za Kazi Kilombero Sugar Company Limited

Kampuni ya Sukari ya Kilombero ni moja kati ya viwanda vikubwa vya uzalishaji wa sukari nchini Tanzania. Ipo katika bonde la mto Kilombero, mkoani Morogoro, kampuni hii ina mashamba makubwa ya miwa na pia hununua miwa kutoka kwa wakulima wadogo wanaoizunguka. Kilombero Sugar Company ina jukumu muhimu katika kuchangia pato la taifa kupitia uzalishaji wa sukari, ajira kwa maelfu

Continue reading

NAFASI za Kazi Kisarawe District Council

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe amepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025. NAFASI za Kazi Kisarawe District Council MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI i. Waombaji wote wawe Raia wa Tanzania na wenye umri wa

Continue reading
error: Content is protected !!