Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Makala»Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha ADEM Bagamoyo
Makala

Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Kisiwa24By Kisiwa24March 13, 2025No Comments4 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha ADEM Bagamoyo, Habari mwana ya wakati huu mwana Habarika24 karibu tena katika makala hii fupi ambayo itaenda kukupa maelezo ya kina juu ya ada, fomu, kozi na sifa za kujiunga na  chuo cha ADAM Bagamoyo.

Kama wewe ni mwanafunzi unayetaka kujiunga na chuo cha ADEM Bagamoyo basi makala hii itakua na umuhimu sana kwa upande wako kwani itaenda kukupa mwongozo wa kina kuhusu ada, fomu, kozi na sifa za kujiunga na chuo cha ADEM Bagamoyo

Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Kozi Zinazotolewa na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Chuo cha ADEM Bagamoyo kinatoa kozi mbali mbali kwa ngazi za cheti na diploma, hapa chini tutaenda kukuonyesha kozi zote zinazotelewa na chuo cha ADEM Bagamoyo katika ngazi zote;

Kozi za Cheti Zinazotolewa na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Hapa chini tutaenda kuangali kozi zote za cheti (Astashahad) zinazotolewa na chuo cha ADEM Bagamoyo

  • Kozi ya Cheti cha Uongozi, Usimamizi na Utawala wa Elimu (CELMA)
  • Kozi ya Cheti cha Ufundi cha Uthibiti wa Shule

Kozi za Diploma Zinazotolewa na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

  • Kozi ya Diploma ya Uthibiti Ubora wa Shule (DSI)
  • Kozi ya Diploma ya Uongozi na Usimamizi wa Elimu (DEMA)

Ada ya Chuo cha ADEM Bagamoyo katika Kozi Mbali Mbali

Hapa tutaenda kuangalia juu ya ada zinazotozwa na chuo cha ADEM Bagamoyo katika kozi mbali mbali, ada hutofautiana kutoka kozi moja hadi nyingine kulingana na gazi ya kozi husika.

Ada ya Kozi za Cheti Zinazotolewa na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Hapa chini tutaenda kuangali kozi zote za cheti (Astashahad) zinazotolewa na chuo cha ADEM Bagamoyo

Kozi ya Cheti cha Uongozi, Usimamizi na Utawala wa Elimu (CELMA)

  • Ada ya kozi hii ni Tsh 500,0o0 kwa mwaka

Kozi ya Cheti cha Ufundi cha Uthibiti wa Shule

  • Ada ya kozi hii ni Tsh 500,00 kwa mwaka

Ada ya Kozi za Diploma Zinazotolewa na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Kozi ya Diploma ya Uthibiti Ubora wa Shule (DSI)

  • Ada ya kozi hii ni Tsh 850,000 kwa mwaka

Kozi ya Diploma ya Uongozi na Usimamizi wa Elimu (DEMA)

  • Ada ya kozi hii ni Tsh 850,000 kwa mwaka

Fomu ya Kujiunga Na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Fomu ya maombi ya kujiunga na chuo cha ADEM Bagamoyo zinapatika kwa njia mbili ambazo ni;

  1. Kwa kuingia kwenye tovuti ya chuo tumia linki hii – www.adem.ac.tz
  2. Kwa kutembelea ofisi za chuo cha ADEM Bagamoyo

Baada ya kupata fomu tafadhari jaza taarifa za msingi kulingana na kozi unayotaka kusoma na kisha ufanye malipo ya ada ya usajili na kuripotisha fomu hiyo katika ofisi za chuo cha ADEM Bagamoyo ukiambatanisha na risiti ya malipo.

Sifa za Kujiunga na Chuo Cha ADEM Bagamoyo

Hapa tunaenda kutazama sifa na vigezo vinavyotumia kusaili wanafunzi kwa kila kozi kulingana na ngazi ya kozi husika;

Sifa za kujiunga na Kozi za Cheti katika Chuo cha ADEM Bagamoyo

Kozi ya Cheti cha Uongozi, Usimamizi na Utawala wa Elimu (CELMA)

  • Mwombaji anapaswa awe na ufaulu wa CSEE na D nne katika masomo yasiyo ya dini

Kozi ya Cheti cha Ufundi cha Uthibiti wa Shule

  • Mwombaji anapaswa awe na ufaulu wa CSEE

Sifa za kujiunga na Kozi za Cheti katika Chuo cha ADEM Bagamoyo

Kozi ya Diploma ya Uthibiti Ubora wa Shule (DSI)

  • Mwombaji anatakiwa awe na uzoefu wa miaka 3 kazini na ufaulu wa CSEE na D nne katika masomo yasiyo ya dini.

Kozi ya Diploma ya Uongozi na Usimamizi wa Elimu (DEMA)

  • Mwombaji anatakiwa awe na uzoefu wa miaka 3 kazini na ufaulu wa CSEE na D nne katika masomo yasiyo ya dini.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Ardhi Morogoro

2. Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Utalii Mwanza

3. Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Utalii Arusha

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleRatiba Ya Mechi Za KenGold FC Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025
Next Article CV ya Mamadou Samake Mchezaji Mpya wa Azam FC
Kisiwa24

Related Posts

Makala

Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya kupika Maharage kwenye Rice cooker

October 8, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025443 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025442 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.