Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same amepokea Kibali cha Ajira
Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu – ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora kupitia baru ayenye Kumb. Na. FA.228/613/01F/072 ya tarehe
10.03.2025. Hivyo anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa za
kujaza nafasi tajwa hapo chini.
Subscribe to Updates
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
