Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Vituo Vya Usaili Ajira za Jeshi la Polisi 2025
    Makala

    Vituo Vya Usaili Ajira za Jeshi la Polisi 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24April 23, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira (TANZANIA POLICE FORCE – RECRUITMENT PORTAL) kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 28/4/2025 saa 07:00 Asubuhi hadi tarehe 11/5/2025 kote nchini.

    Vituo vya Usaili kwa Wasailiwa wa ajira za Jeshi la Polisi vimetengwa kulindana na ngazi za elimu na kufuata maeneo wa waombaji wa Ajira hizo za Polisi kwa mwaka wa ajira wa 2025.

    Vituo Vya Usaili Ajira za Jeshi la Polisi 2025

    Hapa chini ni vituo vya usaili kwa waombaji walioitwa kwenye usaili jeshi la polisi kwa mwaka 2025. Soma kwa makini kwani vituo vya usaili vimetengwa kulingana na Elimu ya wasailiwa pamoja na maeneo waliotuma maombi.

    1. Wasailiwa wenye elimu ya Shahada, Stashahada na Astashahada

    • kwa Upande wa Tanzania bara: wasailiwa wenye elimu ya Shahada, Stashahada na Astashahada usaili utafanyika jijini Dar es Salaam katika uwanja wa gwaride uliopo Kambi ya Polisi (Police Barracks) barabara ya Kilwa nyuma ya kituo cha Polisi Kilwa
      Road.
    • Kwa upande wa Zanzibar: Wasailiwa wa Zanzibar wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada usaili utafanyika Zanzibar
      • Wasaili waliopo mikoa ya Unguja-usaili utafanyika Makao Makuu ya Polisi Zanzibar (Ziwani)
      • Wasaili walioko Mikoa ya Pemba – usaili utafanyika Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba (Chakechake).

    Soma Pia; Mambo Muhimu ya Kuzingatia Kwenye Usaili Ajira za Polisi

    2. Wasailiwa wenye elimu ya kidato cha Nne na cha Sita

    • kwa Upande wa Tanzania bara: usaili utafanyika kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa waliyoichagua wakati wa kutuma maombi.
    • Kwa upande wa Zanzibar: Wasailiwa wa Zanzibar wenye elimu ya Kidato cha sita na Nne usaili utafanyika Zanzibar
      • Wasaili waliopo mikoa ya Unguja-usaili utafanyika Makao Makuu ya Polisi Zanzibar (Ziwani)
      • Wasaili walioko Mikoa ya Pemba – usaili utafanyika Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba (Chakechake).

    BOFYA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA JESHI LA POLISI 2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMAJINA Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi La Polisi 2025
    Next Article Nafasi za Kazi Assistant Nursing Officer Kutoka Survival Hospital April 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202548 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202548 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.