Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Makala»Vituo Vya Usaili Ajira za Jeshi la Polisi 2025
Makala

Vituo Vya Usaili Ajira za Jeshi la Polisi 2025

Kisiwa24By Kisiwa24April 23, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Mkuu wa Jeshi la Polisi anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa Ajira (TANZANIA POLICE FORCE – RECRUITMENT PORTAL) kuwa usaili utafanyika kuanzia tarehe 28/4/2025 saa 07:00 Asubuhi hadi tarehe 11/5/2025 kote nchini.

Vituo vya Usaili kwa Wasailiwa wa ajira za Jeshi la Polisi vimetengwa kulindana na ngazi za elimu na kufuata maeneo wa waombaji wa Ajira hizo za Polisi kwa mwaka wa ajira wa 2025.

Vituo Vya Usaili Ajira za Jeshi la Polisi 2025

Hapa chini ni vituo vya usaili kwa waombaji walioitwa kwenye usaili jeshi la polisi kwa mwaka 2025. Soma kwa makini kwani vituo vya usaili vimetengwa kulingana na Elimu ya wasailiwa pamoja na maeneo waliotuma maombi.

1. Wasailiwa wenye elimu ya Shahada, Stashahada na Astashahada

  • kwa Upande wa Tanzania bara: wasailiwa wenye elimu ya Shahada, Stashahada na Astashahada usaili utafanyika jijini Dar es Salaam katika uwanja wa gwaride uliopo Kambi ya Polisi (Police Barracks) barabara ya Kilwa nyuma ya kituo cha Polisi Kilwa
    Road.
  • Kwa upande wa Zanzibar: Wasailiwa wa Zanzibar wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada usaili utafanyika Zanzibar
    • Wasaili waliopo mikoa ya Unguja-usaili utafanyika Makao Makuu ya Polisi Zanzibar (Ziwani)
    • Wasaili walioko Mikoa ya Pemba – usaili utafanyika Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba (Chakechake).

Soma Pia; Mambo Muhimu ya Kuzingatia Kwenye Usaili Ajira za Polisi

2. Wasailiwa wenye elimu ya kidato cha Nne na cha Sita

  • kwa Upande wa Tanzania bara: usaili utafanyika kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa waliyoichagua wakati wa kutuma maombi.
  • Kwa upande wa Zanzibar: Wasailiwa wa Zanzibar wenye elimu ya Kidato cha sita na Nne usaili utafanyika Zanzibar
    • Wasaili waliopo mikoa ya Unguja-usaili utafanyika Makao Makuu ya Polisi Zanzibar (Ziwani)
    • Wasaili walioko Mikoa ya Pemba – usaili utafanyika Ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Pemba (Chakechake).

BOFYA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA WALIOITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA JESHI LA POLISI 2025

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleMAJINA Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi La Polisi 2025
Next Article Nafasi za Kazi Assistant Nursing Officer Kutoka Survival Hospital April 2025
Kisiwa24

Related Posts

Makala

Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

October 9, 2025
Makala

Jinsi ya kupika Maharage kwenye Rice cooker

October 8, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025779 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025442 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025420 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.