Waliochaguliwa Kijiunga Kidato Cha Tano Arusha 2025
KUTAZAMA MAJINA YOTE BONYEZA HAPA
Kila mwaka, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia hutangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano katika shule mbalimbali za sekondari kote nchini Tanzania. Miongoni mwa mikoa inayopokea wanafunzi wengi kutokana na matokeo mazuri ya mitihani ni Mkoa wa Arusha.
Orodha Kamili ya Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Tano Arusha 2025
Wanafunzi waliopata nafasi ya kujiunga na kidato cha tano mkoani Arusha ni kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, wakichaguliwa kulingana na ufaulu wao katika Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne (CSEE). Hapa chini tumekuandalia muhtasari wa jinsi ya kupata majina ya waliochaguliwa, shule walizopangiwa, pamoja na hatua za kuchukua baada ya uchaguzi huo.
Jinsi ya Kuangalia Majina Waliochaguliwa Kidato Cha Tano Mkoa wa Arusha
Ili kuangalia kama mwanafunzi amechaguliwa kujiunga na moja ya shule za sekondari mkoani Arusha, fuata hatua hizi:
-
Tembelea tovuti rasmi ya TAMISEMI: https://selform.tamisemi.go.tz
-
Bonyeza sehemu iliyoandikwa “Form Five Selection 2025”
-
Chagua mkoa wa Arusha
-
Tafuta jina la shule au mwanafunzi katika orodha iliyopo
-
Bonyeza jina la shule kupata orodha kamili ya wanafunzi waliopangiwa hapo
Kwa urahisi zaidi, unaweza kutumia Ctrl + F kutafuta jina la mwanafunzi moja kwa moja.
Hapa chini ni listi ya ya Wilaya na shule itakusaidia kutazama jina lako kwa urahisi zaidi bonyeza kwenye wilaya uliosoma kutazama jina lako;
ARUSHA CC
ARUSHA DC
KARATU DC
LONGIDO DC
MERU DC
MONDULI DC
NGORONGORO DC