Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home»Michezo»VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025
    Michezo

    VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 17, 2025Updated:January 17, 2025No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025

    Table of Contents

    Toggle
    • VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025
      • Umuhimu wa Mchezo Huu kwa Yanga SC
      • Matumaini ya Mashabiki wa Yanga

    Habari mwanamichezo wa Kisiwa24 karibu katika makal hii fupi itakayoenda kukuonyesha kuhusu viingilio harisi vya mchezo wa marudiano wa raoundi ya 6 kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika 2025.

    Kama wewe ni shabiki wa klabu ya Yanga na mpenda soka basi naamini utakua kusubilia kwa hamu mchezo huu wa Yanga vs MC Alger siku ya jumamosi 18/01/2025, Hivyo kama utahitaji kuutazama mtanange huu live kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam hauna budi kuweza kufahamu bei ya tiketi ya mechi hii ya Yanga vs MC Alger klabu bingwa Afrika mchezo wa roundi ya 6 hatua ya makundi kufudhu kwenda robo fainali.

    VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025

    Hapa chini ni mchanganuo wa bei ya tiketi ya mchezo wa Yanga vs MC Alger 18/01/2025.Viingilio katika mchezo huu vimeweza kugawanywa katika makundi maku manne ambayo ni;

    1. Mzunguko (Orange) – Tsh 5,000

    2. VIP C – 10,000

    3. VIP B – Tsh 20,000

    4. VIP A – Tsh 30,000

    Hapa chini ni picha kuonyesha bei ya Tiketi mechi ya Yanga vs MC Alger 18/01/2025

    VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    Umuhimu wa Mchezo Huu kwa Yanga SC

    Mchezo huu ni muhimu sana kwa klabu ya Yanga kwani ushindi wake katika mchezo huu utampa nafasi ya kuweza kusonga hadi nafasi ya 2 na kuweza kufuvu kwenda katika hatu inayofuata ya robo fainali ya michuano ya hii ya klabu bingwa Afrika kwa msimu wa 2025.

    Hadi sasa kwenye kundi A klabu ya Yanga iko katika nafasi ya 3 ikiwa na jumla ya pointi 7 nyuma ya MC Alger iliyoko katika nafasi ya 2 ikiwa na pointi 8. Yanga haiitaji sare katika mchezo huu inahitaji pointi 3 ili kuweza kusonga hatua inayofuata.

    Matumaini ya Mashabiki wa Yanga

    Mashabi wa klabu ya Yanga wanamatumaini makubwa ya timu yoa kuweza kushinda katika mchezo huu na kuweza kusonga mbele kwenye hatua inayofuata ya robo fainali. Mchezo huu utafanyika siku ya jumamosi majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa Benjamini Mkapa ulioko jijini Dar es Salaam.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025

    2. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika 2025

    3. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

    4. Msimamo Wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 Tanzania Bara

    5. Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

    October 15, 2025

    CV ya Dimitar Pantev – Kocha Mpya wa Simba SC 2025

    October 5, 2025

    Wafungaji Bora Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2025/2026

    October 5, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025105 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202548 Views

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania

    October 4, 202540 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Warning: Undefined array key "file" in /home/u605461473/domains/habarika24.com/public_html/wp-content/themes/smart/inc/media.php on line 688
    Makala

    Pico 4 Review: Should You Actually Buy One Instead Of Quest 2?

    8.5 By Kisiwa24January 15, 20210
    Uncategorized

    A Review of the Venus Optics Argus 18mm f/0.95 MFT APO Lens

    8.1 By Kisiwa24January 15, 20210
    Magazeti

    DJI Avata Review: Immersive FPV Flying For Drone Enthusiasts

    8.9 By Kisiwa24January 15, 20210

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025105 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202548 Views

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania

    October 4, 202540 Views
    Our Picks

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.