Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025
    Michezo

    VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 17, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025

    Habari mwanamichezo wa Kisiwa24 karibu katika makal hii fupi itakayoenda kukuonyesha kuhusu viingilio harisi vya mchezo wa marudiano wa raoundi ya 6 kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika 2025.

    Kama wewe ni shabiki wa klabu ya Yanga na mpenda soka basi naamini utakua kusubilia kwa hamu mchezo huu wa Yanga vs MC Alger siku ya jumamosi 18/01/2025, Hivyo kama utahitaji kuutazama mtanange huu live kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam hauna budi kuweza kufahamu bei ya tiketi ya mechi hii ya Yanga vs MC Alger klabu bingwa Afrika mchezo wa roundi ya 6 hatua ya makundi kufudhu kwenda robo fainali.

    VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025

    Hapa chini ni mchanganuo wa bei ya tiketi ya mchezo wa Yanga vs MC Alger 18/01/2025.Viingilio katika mchezo huu vimeweza kugawanywa katika makundi maku manne ambayo ni;

    1. Mzunguko (Orange) – Tsh 5,000

    2. VIP C – 10,000

    3. VIP B – Tsh 20,000

    4. VIP A – Tsh 30,000

    Hapa chini ni picha kuonyesha bei ya Tiketi mechi ya Yanga vs MC Alger 18/01/2025

    VIINGILIO Mechi ya Yanga vs MC Alger 18 January 2025

    Umuhimu wa Mchezo Huu kwa Yanga SC

    Mchezo huu ni muhimu sana kwa klabu ya Yanga kwani ushindi wake katika mchezo huu utampa nafasi ya kuweza kusonga hadi nafasi ya 2 na kuweza kufuvu kwenda katika hatu inayofuata ya robo fainali ya michuano ya hii ya klabu bingwa Afrika kwa msimu wa 2025.

    Hadi sasa kwenye kundi A klabu ya Yanga iko katika nafasi ya 3 ikiwa na jumla ya pointi 7 nyuma ya MC Alger iliyoko katika nafasi ya 2 ikiwa na pointi 8. Yanga haiitaji sare katika mchezo huu inahitaji pointi 3 ili kuweza kusonga hatua inayofuata.

    Matumaini ya Mashabiki wa Yanga

    Mashabi wa klabu ya Yanga wanamatumaini makubwa ya timu yoa kuweza kushinda katika mchezo huu na kuweza kusonga mbele kwenye hatua inayofuata ya robo fainali. Mchezo huu utafanyika siku ya jumamosi majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa Benjamini Mkapa ulioko jijini Dar es Salaam.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025

    2. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika 2025

    3. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

    4. Msimamo Wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 Tanzania Bara

    5. Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi za Kazi Corporate Sales Representative Kutoka Cartrack
    Next Article CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.