TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Nafasi za Kazi 102 Kutoka MDAs na LGAs January 2025

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025 by on January 7, 2025 0 Comments

Nafasi za Kazi 102 Kutoka MDAs na LGAs January 2025

MDAs and LGAs are key elements of the nation’s governance system, each with distinct responsibilities. MDAs are federal government agencies assigned with the responsibility of formulating and implementing policies, laws, and regulations in various sectors such as health, education, agriculture, and transport. These ministries and agencies deliver public services across the country and are headed by ministers or appointed directors.

Nafasi iliyopo: DAKTARI WA UPASUAJI WA KINYWA NA MENO II (DENTAL SURGEON II)

Idadi ya Nafasi – 102

Maelezo ya Kazi

DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i.Kufanya kazi zote za matibabu hospitalini zinazohusiana na magonjwa ya kinywa na meno.

ii.Kutoa na kusimamia elimu ya afya ya kinywa na meno.

iii.Kuboresha afya ya kinywa na meno katika eneo lake la kazi na jamii.

iv.Kuziba/kukarabati meno, upasuaji, utengenezaji wa meno, kurekebisha mataya (orthodontics).

v.Kusimamia wafanyakazi walio chini yake.

vi.Kuchunguza, kufuatilia na kuzuia milipuko ya magonjwa.

vii.Kufundisha wanafunzi katika vyuo vya afya vilivyopo eneo lake la kazi.

viii.Kubuni na kuendesha utafiti na kusambaza matokeo.

ix.Kubuni na kutayarisha mikakati ya kuinua ubora wa huduma ya fani yake.

x.Kuandaa mipango na makisio ya bajeti ya huduma za afya ya kinywa na meno.

xi.Kushiriki, kuhakiki na kuboresha huduma za afya (Medical audit and quality improvement).

xii.Kutoa huduma za outreach katika wilaya/mkoa wake

xiii.Kutunza takwimu na kuzitumia kama inavyoelekezwa katika misingi ya MTUHA.

xiv.Kupanga na kutathimini huduma za afya ya kinywa na meno katika eneo la kazi.

xv.Kufanya utafiti katika maeneo mbali mbali ya afya ya kinywa na meno.

xvi.Kufanyakazinyingineatakazopangiwanamkuuwakewakazi zinazohusiana na elimu, uzoefu na ujuzi wake.

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa wenye shahada ya udaktari wa upasuaji wa kinywa na meno kutoka vyuo vinavyotambuliwa na serikali waliomaliza “Internship” na kusajiliwa na Baraza la Madaktari Tanganyika.

REMUNERATION TGHS E

Mwisho wa kutuma maombi ni 20 January 2025.

NB: Kumbuka maombi yote yanatumwa kupitia website ya Ajira Portal, kama bado hujafungua akaunti hujachelwa bado Bonyeza HAPA ili kufungua akaunti yako sasa.

Bonyeza HAPA kutuma Maombi

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags: ,

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!